TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
jana nimemuona Benno Malisa akishiriki kufunga matawi ya ccm Arusha , Lakini Tangia uchaguzi uishe wa BAVICHA sijawahi kumuona John Heche akishiriki kwenye shughuli yeyote ya ujenzi wa chama zaidi ya kulionya jeshi la polisi na kutoa mattamko kwenye press conference , je kazi za mwenyekiti ni hizo tu au zipo na nyingine? au kazi ni kushiriki maandamano tu?