Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

Zitto Zuberi Kabwe ni

1. Kiongozi Mkuu wa chama kwenye mikutano mikuu ya chama Taifa, mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu
2. Mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote (Akiwemo Mwenyekiti) na maafisa wa ACT-Tanzania.
3. Kuteua wajumbe watano wa Kamati Kuu kwa mujibu wa Katiba hii
4. Mtoa tamko (Katibu Mwenezi) rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa chama
5. Mtoa habari mahususi kwenye mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu kuhusu hali ya kisiasa nchini na masuala mengine ya kitaifa na kimataifa.
6. Msimamzi wa Mafunzo na Mtoa maelekezo kuhusu shughuli zote za ACT-Tanzania
7. Ndiye Kiongozi Mkuu wa Chama.
8. Ni NURU na TASWIRA ya ACT-Tanzania

That is Zitto Zuberi Kabwe. Najiuliza Huyu Mzalendo haya Mavyeo atayaeza yote kweli?

Mytake.

Aidha Zitto Kabwe hapendi Kuongozwa ama ACT hawaamini kama wanayaweza Majukumu yao ndio Maana wamebadilisha Katiba siku ya Mkutano ili Kukidhi Matakwa yake.

Alichokikosa akiwa CHADEMA ndo amekipata akiwa ACT. Mwacheni tumuone kama ataweza.
 
What if asipogombea kwa sababu hakidhi vigezo (Umri) ACT haitasimamisha Mgombea Urais? na Kama itasimamisha Zitto atajiuzulu Ukuu wa Chama?
Maelezo aliyotoa Prof Mkumbo na ninayoyapata kutoka kwa Mkandara yananichanganya ndiyo maana nimeandika hivyo.
 
Habari za siku Mkandara . Umesema kisomi mno na vijana wetu wengi hapa JF are not great thinkers ni washabiki na wanatoka shule za Kata . Mkuu rejea bandiko lako tena kwa lugha nyepesi watu waelewe uwasaidie.

We mwenyewe sio great thinker!! kwa hiyo wanaosoma shule za kata hawafai kabisa na sio thinker!!
mkikosa vya kuongea tulia unaitukana TZ hivi hivi!!
kuwa makini..
 
What if asipogombea kwa sababu hakidhi vigezo (Umri) ACT haitasimamisha Mgombea Urais? na Kama itasimamisha Zitto atajiuzulu Ukuu wa Chama?
Kulingana na muundo huu, inatakiwa Zitto atakoma Uongozi akipatikana mgombea Urais mwingine ila kwa sasa maadam ndio mwanzo wanaanza na pengine hawajajuana vizuri na wana fikra za Mwalimu aligombea Urais akiwa na umri wa miaka isiyofika 40 pengine wana tumaini Katiba itabadilishwa. Hivyo hatuwalazimishi bali wana katiba yao na sijui inasemaje kuhusu nafasi ya Kiongozi hupatikana vipi. Kosa kubwa naloliona mimi ACT ni kuyaweka mamlaka mengine ya Mwenyekiti kuwa chini ya Kiongozi.

Lakini pamoja na hivyo, kuna unafuu zaidi ACT kuliko Chadema ambako Mwenyekiti ndiye Kiongozi na viongozi wote wa chama ndio wagombea Ubunge Kitaifa. Sasa Mbowe akiwa bungeni na wenzake huku chamani wanabakia Bavicha ambao hawajakomaa kisiasa. Uongozi wa chama muhimu utenganishwe na Uongozi wa kitaifa.
 
ZITTO umeingia kwenye sinema ya ajabu!!! hivi unao washauli wako juu yq masuala ya kisiasa??
huoni kwamba mpango wa kuingoa CCM haitawezekana kwa sasa? maana umeanza kukijenga chama!! kwa hiyo kwa 2016..tutapoteza!! kwa kua vijiji viwatambue sio leo wala kesho!!!
 
Chadema Zitto anawafanya mshindwe hata kwenda choo, mnajiny***a hapo hapo mlipo. Mtakoma mwaka huu!
 
Mzalendo Zitto uzalendo umemshinda kawatia wenzake kabari ili wakifanya fyoko aanze kumtafuna mmoja mmoja.
 
Kulingana na muundo huu, inatakiwa Zitto atakoma Uongozi akipatikana mgombea Urais mwingine ila kwa sasa maadam ndio mwanzo wanaanza na pengine hawajajuana vizuri na wana fikra za Mwalimu aligombea Urais akiwa na umri wa miaka isiyofika 40 pengine wana tumaini Katiba itabadilishwa. Hivyo hatuwalazimishi bali wana katiba yao na sijui inasemaje kuhusu nafasi ya Kiongozi hupatikana vipi. Kosa kubwa naloliona mimi ACT ni kuyaweka mamlaka mengine ya Mwenyekiti kuwa chini ya Kiongozi.

Lakini pamoja na hivyo, kuna unafuu zaidi ACT kuliko Chadema ambako Mwenyekiti ndiye Kiongozi na viongozi wote wa chama ndio wagombea Ubunge Kitaifa. Sasa Mbowe akiwa bungeni na wenzake huku chamani wanabakia Bavicha ambao hawajakomaa kisiasa. Uongozi wa chama muhimu utofautishwe na Uongozi wa kitaifa.

Sasa Mkuu kama sio Uroho wa Madaraka ni nini? Kwa Maujibu wa Katiba ya Sasa Zitto hawezi Kugombea Urais sasa kwa nini Wafanye Maamuzi ya Kumfanya kuwa Kiongozi wa Chama based on TUMAINI la KATIBA Kubadilishwa kwa Sababu Katiba. Yaani Mku unaona SAWA HAPA?

Mkuu sioni Tofauti bali ni Jina tu Maana Zitto anampango wa Kugombea Ubunge sasa hapo kuna Tofauti gani na Zitto? Mkuu let us talk Objectively na nitashangaa sana Kama hilo Hulioni Mkuu Mkandara
 
Ndio nini hii Mkuu Kiranga? Haipo kwenye Dictionery yangu
Maoist ni neno linalotumika kumaanisha kuwa mfuasi wa siasa za Mao aliyekuwa raisi wa China na mwenyekiti wa chama cha kikomunisti kwa miaka msingi. Mambo ya chama kushika hatamu yalianzishwa na akina Mao.
 
Zitto ni kirusi hakitakiwi kabisa nia yake nikudhoofisha upinzani hatumtak...

ACT ni hovyo 100%; hata huyo profesa wao amejaribu kutulaghai lkn hawezi, eti mwenyekiti atamwajibisha kiongozi mkuu eeeh nani mkubwa kikatiba? Hapo kina mama wamedanganywa kuwa kuna mama anaongoza chama! what a shame! Halafu eti ni wajamaa nani anaitaka hiyo jehanamu! Lkn kwa itikadi hiyo ya kina zzk tunagundua msingi wa ugomvi wao na CDM! Hawakukubaliana na sera za chama! wakataka kupindua waliposhindwa wakaishia Act na sasa tunaendelea kuziona rangi zao. Black and white!
 
Sasa Mkuu kama sio Uroho wa Madaraka ni nini? Kwa Maujibu wa Katiba ya Sasa Zitto hawezi Kugombea Urais sasa kwa nini Wafanye Maamuzi ya Kumfanya kuwa Kiongozi wa Chama based on TUMAINI la KATIBA Kubadilishwa kwa Sababu Katiba. Yaani Mku unaona SAWA HAPA?

Mkuu sioni Tofauti bali ni Jina tu Maana Zitto anampango wa Kugombea Ubunge sasa hapo kuna Tofauti gani na Zitto? Mkuu let us talk Objectively na nitashangaa sana Kama hilo Hulioni Mkuu Mkandara
Sijasema silioni na wala sijui haswa sababu za Zitto kuchaguliwa Kiongozi au niseme rais wa kwanza wa ACT ikiwa ACT iinatarajia kugombea Uongozi wa Kitaifa 2015. Binafsi nilitegemea kama wengine pengine Zitto angekuwa Mwenyekiti kisha mgombea Urais 2015 akatafutwa kulingana na katiba ya nchi.

Bila shaka kitila atakuwa anaelewa zaidi, sisi kazi yetu hapa JF ni kuchambua vitu na kuweka hoja zetu. Aidha ACT maadam ni chama kipya na walitaka muundo huo hawakuwa na jinsi isipokuwa kumuandaa Zitto hadi 2020 wakati huo huo akiwa nguzo ya chama, hatujui na hatuwezi kuendelea na dhana wakati wenyewe wanajua wamefanya nini.
 
Zitto Zuberi Kabwe ni

1. Kiongozi Mkuu wa chama kwenye mikutano mikuu ya chama Taifa, mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu
2. Mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote (Akiwemo Mwenyekiti) na maafisa wa ACT-Tanzania.
3. Kuteua wajumbe watano wa Kamati Kuu kwa mujibu wa Katiba hii
4. Mtoa tamko (Katibu Mwenezi) rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa chama
5. Mtoa habari mahususi kwenye mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu kuhusu hali ya kisiasa nchini na masuala mengine ya kitaifa na kimataifa.
6. Msimamzi wa Mafunzo na Mtoa maelekezo kuhusu shughuli zote za ACT-Tanzania
7. Ndiye Kiongozi Mkuu wa Chama.
8. Ni NURU na TASWIRA ya ACT-Tanzania

That is Zitto Zuberi Kabwe. Najiuliza Huyu Mzalendo haya Mavyeo atayaeza yote kweli?

Mytake.

Aidha Zitto Kabwe hapendi Kuongozwa ama ACT hawaamini kama wanayaweza Majukumu yao ndio Maana wamebadilisha Katiba siku ya Mkutano ili Kukidhi Matakwa yake.

Kuna majukumu si lazima kuya-centralize kwa mtu mmoja mfano

2.Mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote (Akiwemo Mwenyekiti) na maafisa wa ACT-Tanzania.

Hakuna haja yeye kuwa mwelekezaji wa viongozi wote n amaafisa wa ACT, kuwa mkuu wa siasa sawa na mshauri sawa.
Technically hatapata huo muda, ni vizuri ikaundwa idara rasmi yenye professional political scientist wakasimamia hilo, yeye abaki kuwa mshauri kwenye kamati ya utekelezaji au something similar.

4. Mtoa tamko (Katibu Mwenezi) rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa chama

Natumai wana katibu mwenenzi, kama hayupo watengeneze hii idara. PR na uenezi ni idara muhimu sana, ni kosa kubwa sana idara hii kukabidhiwa mwenyekiti au Kiongozi mkuum, whatever the name that may be. He will almost guaranteed, not have time and ability to act promptly in all political statements.Kama anataka ku-oversee approval process, ingekuwa vyema wajifunze kutoka kwa PR guru's wa communications department zinazoheshimika duniani kwenye hili, kama wakishindwa waajiri external consultant awajengee mfumo. ISO wana standards za hivi vitu, watafute interns wawasaidie kufanya research za hivi vitu. All ,modern political parties duniani wanafanya hivyo.

6. Msimamzi wa Mafunzo na Mtoa maelekezo kuhusu shughuli zote za ACT-Tanzania

I am beginning to think this was all rushed. It is impossible for him to oversee training, unless ACT believes training will be conducted in one area and in less frequent matters. ACT should leave this micro managing to other people, preferably professionals and let their main leaders deal with macro issues.

8. Ni NURU na TASWIRA ya ACT-Tanzania

Hapa nadhani walikosa lugha sahihi ya kulielezea hili, Nuru na Taswira ya ACT inatakiwa iwe sera zake, kwani mwenyekiti anaweza kukumbwa na kashfa,human catastrophe au kubadilika kimtazamo. Hili likitokea itakuwa ngumu kuwaunganisha wanachama wote, kama taswira yao ilikuwa formed around a human. Best way to put this is Kiongozi wa chama anatakiwa awe mtu anayereflect taswira ya ACT-Tanzania, lisiwe Jukumu, bali iwe job requirement.
ACT Wazalendo, Zitto , Mkandara
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom