change we need
Member
- Aug 10, 2011
- 81
- 9
kila mara tunaposikia kuna tatizo la rushwa au ubadhilifu wa fedha za umma mara nyingi nimekuwa nikisikia Ofsi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali inafanya uchunguzi..
Kutokana na sakata la Jairo mie nimeelewa tofauti kumbe kazi ya CAG ni kukagua matumizi ya pesa zilizotoka bila kujali matumizi yake! kama bajeti 1 ya wizara inapitishwa kwa milioni 500 na hilo linaonekana ni jambo la kawaida sasa hii ofsi inasaidia nini?
Je tuna wizara ngapi nchi hii ambazo zinapitishwa kwa mamilioni ya shillingi? Kweli serikali yetu iko serious katika kuleta mabadiliko kwa ajili ya watanzania? sipati majibu labda wadau tusaidiane kazi za CAG na lengo lake hasa nini? na ina msaada gani kwa ajili ya kulinda ufujaji wa mali za umma?
Kutokana na sakata la Jairo mie nimeelewa tofauti kumbe kazi ya CAG ni kukagua matumizi ya pesa zilizotoka bila kujali matumizi yake! kama bajeti 1 ya wizara inapitishwa kwa milioni 500 na hilo linaonekana ni jambo la kawaida sasa hii ofsi inasaidia nini?
Je tuna wizara ngapi nchi hii ambazo zinapitishwa kwa mamilioni ya shillingi? Kweli serikali yetu iko serious katika kuleta mabadiliko kwa ajili ya watanzania? sipati majibu labda wadau tusaidiane kazi za CAG na lengo lake hasa nini? na ina msaada gani kwa ajili ya kulinda ufujaji wa mali za umma?