Huenda anatafakari namna ya kuondoa shida ya umeme nchini.
Sasa kama amelala kulikuwa na umuhimu gani wa kupoteza kodi zetu kwenda Paris. Hawa watu nchi imewashinda
Hata akiletewa mkataba hapo Ngeleja anasaini huku akiwa na mausingizi singizi hivyo hivyo, ni aibu kweli, ona wazungu wao walivyo macho na sura za umakini mkubwa. Nimechukia kweli hili lipicha wanavyofanya huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.