mjizu123
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 349
- 368
Habari zanguzangu wote wakristo kwa waislam; mabibi na mabwana.
Mimi ni kijana ambaye naishi ARUSHA ambae kazi yangu imedhiriwa na CORONA kwa asilimia mia moja kwa sasa nipo nyumbani na sina kazi yoyote.
Na kama tunavyojua kwa kipindi hiki kazi zimekuwa ngumu sana kupatika baada ya ugonjwa huu kuingia nchini kwetu.
Sasa basi kwa upole na uruma kwa yoyoye mwenye kuitaji mfanyakanzi MIMI NIPO KWANI NINA UITAJI MKUBWA SANA WA KAZI SICHAGUI KAZI
Naombeni sana ndugu zangu kwani ukinisaidia leo nami nikifanikiwa nitasaidia wengi zaidi
Kwani ni m TANZANIA mwenzenu mwenye umri wa miaka 31 naishi ARUSHA kwa mwenye nia kweli ya kunisaidia anaweza nitumia ujumbe PM nami nitajibu
Asanteni sana ndugu zangu mtakao guswa kunisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana ambaye naishi ARUSHA ambae kazi yangu imedhiriwa na CORONA kwa asilimia mia moja kwa sasa nipo nyumbani na sina kazi yoyote.
Na kama tunavyojua kwa kipindi hiki kazi zimekuwa ngumu sana kupatika baada ya ugonjwa huu kuingia nchini kwetu.
Sasa basi kwa upole na uruma kwa yoyoye mwenye kuitaji mfanyakanzi MIMI NIPO KWANI NINA UITAJI MKUBWA SANA WA KAZI SICHAGUI KAZI
Naombeni sana ndugu zangu kwani ukinisaidia leo nami nikifanikiwa nitasaidia wengi zaidi
Kwani ni m TANZANIA mwenzenu mwenye umri wa miaka 31 naishi ARUSHA kwa mwenye nia kweli ya kunisaidia anaweza nitumia ujumbe PM nami nitajibu
Asanteni sana ndugu zangu mtakao guswa kunisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app