Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,771
- 2,544
tunaambiwa wassira ni waziri wa mahusiano ya umma. Labda tupate ufafanuzi wa mahusiano ya umma. Lakini tunaambiwa kuwa yeye ndiye aliyesababisha lile sakata la vijana watatu wa cdm kukamatwa na kuwekwa ndani. Kosa lao ni kuhudhuria mkutano wa ccm? Mabona ni yeye wassira aliwachokoza?
Sakata hilo likapelekea hadi vijana wa ccm kwenda kuomba msamaha kwa katibu wa cdm. Nako kukazuka tafrani nyingine. Yule bangebange nae akajipeleka na vijana wa cdm wakamkwida, na kwa busara ya katibu mkuu ndo ikawa pona yake. Kudhihirisha ukuda wake, badaala ya kushukuru kuwa yameisha anapeleka tena lawama kwa vijana wa cdm kuwa wameonyesha utovu wa nidhamu.
Kama sio kauli za kukurupuka za wassira tungefika huko hadi kwenda kuombana misamaha? Kwanza aliyetakiwa kwenda kuomba msamaha ni yeye wassira, ila kwa kuwa anaeleweka kuwa nae ni bange, vijana waliomzidi busara wakaenda kumuombea radhi.
kauli za wassira ni hizi; aliwataka vijana wa cdm waliokuwa kwenye mkutano wake wanyooshe mikono. Then...? Baada ya kuona hakuna eti akashukuru kuwa hawapo. Kwani nchi ya ccm hii? Ndipo ziliposikika kelele na miruzi toka kila kona ya uwanja huo, huku umati uliokuwepo hapo ukinyoosha vidole viwili na kusema ile kauli maarufu ya cdm-piiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiipoooooooooooooooooooooooz..............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kazi ya wassira ni ipi?
Sakata hilo likapelekea hadi vijana wa ccm kwenda kuomba msamaha kwa katibu wa cdm. Nako kukazuka tafrani nyingine. Yule bangebange nae akajipeleka na vijana wa cdm wakamkwida, na kwa busara ya katibu mkuu ndo ikawa pona yake. Kudhihirisha ukuda wake, badaala ya kushukuru kuwa yameisha anapeleka tena lawama kwa vijana wa cdm kuwa wameonyesha utovu wa nidhamu.
Kama sio kauli za kukurupuka za wassira tungefika huko hadi kwenda kuombana misamaha? Kwanza aliyetakiwa kwenda kuomba msamaha ni yeye wassira, ila kwa kuwa anaeleweka kuwa nae ni bange, vijana waliomzidi busara wakaenda kumuombea radhi.
kauli za wassira ni hizi; aliwataka vijana wa cdm waliokuwa kwenye mkutano wake wanyooshe mikono. Then...? Baada ya kuona hakuna eti akashukuru kuwa hawapo. Kwani nchi ya ccm hii? Ndipo ziliposikika kelele na miruzi toka kila kona ya uwanja huo, huku umati uliokuwepo hapo ukinyoosha vidole viwili na kusema ile kauli maarufu ya cdm-piiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiipoooooooooooooooooooooooz..............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kazi ya wassira ni ipi?