Nimetafakari na kubaini kuna aina nne za wabunge na kazi zao ( nipo tayari kukosolewa)
1. Wabunge wa Majimbo
Hawa hupigiwa kura na wananchi wa jimbo. Hupewa ridhaa na wananchi wakawakilishe Bungeni.
2. Wabunge wa Mapingamizi
Hawa hutangazwa na tume bila ya kupigiwa kura. Hawa huwakilisha wanachama wa chama chake bungeni. Wananchi wasio wanachama wa chama chake wanakosa uwakilishi.
3. Wabunge wa Viti Maalumu- Wanawake
Hawa huwawakilisha wakina mama wa chama chao katika mkoa/ kundi alilotoka
4. Wabunge wa kuteuliwa
Hawa wanamwakilisha rais Bungeni.
Wabunge wa Viti Maalum hoyee
1. Wabunge wa Majimbo
Hawa hupigiwa kura na wananchi wa jimbo. Hupewa ridhaa na wananchi wakawakilishe Bungeni.
2. Wabunge wa Mapingamizi
Hawa hutangazwa na tume bila ya kupigiwa kura. Hawa huwakilisha wanachama wa chama chake bungeni. Wananchi wasio wanachama wa chama chake wanakosa uwakilishi.
3. Wabunge wa Viti Maalumu- Wanawake
Hawa huwawakilisha wakina mama wa chama chao katika mkoa/ kundi alilotoka
4. Wabunge wa kuteuliwa
Hawa wanamwakilisha rais Bungeni.
Wabunge wa Viti Maalum hoyee