Kazi ya waamuzi sita ni nini kama si matimizi mabaya ya pesa? Refa katuua Simba bila hata aibu

Penalty waliyopewa Yanga si halali kabisa na huku Simba wachezaji wetu wakichezewa faulo ndani ya 18 na mwamuzi anapeta.

Kulikuwa na sababu gani kuamuru adhabu ya penalty bila kuwa na uhakika ama kujiridhisha kwa waamuzi wasaidizi?
Malipo hapahapa duniani.Unakumbuka ile penalty ya Kagere?
 

Attachments

  • 20201107_214735.jpg
    20201107_214735.jpg
    50.7 KB · Views: 1
Kule watu wanacheza mpira sio mieleka kama mnavyofanya.

Na usijidanganye siku mkienda kucheza mechi za kimataifa unaweza kucheza mieleka yenu mkaendelea kubaki 11 uwanjani.
Mtu kama Lamine Moro ni kwa matumizi ya Tanzania tu ambapo kuvunja mchezaji mwingine inaruhusiwa ili mradi utopolo wanatafutiwa uhalali wa fslsafa yao ya mpira gimbi
Mbumbumbu mnafarijiana eti hiko ndo kikosi cha kimataifa
 
Kule watu wanacheza mpira sio mieleka kama mnavyofanya.

Na usijidanganye siku mkienda kucheza mechi za kimataifa unaweza kucheza mieleka yenu mkaendelea kubaki 11 uwanjani.
Mtu kama Lamine Moro ni kwa matumizi ya Tanzania tu ambapo kuvunja mchezaji mwingine inaruhusiwa ili mradi utopolo wanatafutiwa uhalali wa fslsafa yao ya mpira gimbi
Ngoja mkapapaswe tena tano tano
Si mlisema level zenu ni ahly ahly?

Mbumbumbu bwana
 
Back
Top Bottom