rifwima
JF-Expert Member
- Apr 21, 2010
- 507
- 212
Kuna ticha mmoja ambaye alikuwa katika mafunzo kwa vitendo. Siku ya siku assessor alikuwa anakuja kwa ajili ya kuangalia swala zima kama kijana kaiva kwenye vitendo. Mwalimu huyo aliandaa zana zote za kufundishia na kujifunzia (teaching materials and teaching and learning aids). Lakini alisahau zana moja ambayo ni (Duster/futio la ubao).
Kijana akaanza kupiga chaki almost akajaza ubao wote isipokuwa sehemu ndogo tu. Akakumbuka hakuwa na futio, jasho likaanza kumtoka, kawaza akakumbuka ana kitambaa mfukoni so akakichukuwa akafutia ubao then akaendelea kufundisha mijasho ikiendelea kumtoka kwa sababu ya hofu ya kufukuzia points.
Mijasho ilipozidi, kwa kujisahau akajinyuka/akajifutia usoni ule mtambala alougeuza kuwa futio. Alichange sura na kuwa white haijawahi tokea. Madenti na assesor wote mbavu kwisheney!!!!!!
UALIMU NI KAZI SANA.
Kijana akaanza kupiga chaki almost akajaza ubao wote isipokuwa sehemu ndogo tu. Akakumbuka hakuwa na futio, jasho likaanza kumtoka, kawaza akakumbuka ana kitambaa mfukoni so akakichukuwa akafutia ubao then akaendelea kufundisha mijasho ikiendelea kumtoka kwa sababu ya hofu ya kufukuzia points.
Mijasho ilipozidi, kwa kujisahau akajinyuka/akajifutia usoni ule mtambala alougeuza kuwa futio. Alichange sura na kuwa white haijawahi tokea. Madenti na assesor wote mbavu kwisheney!!!!!!
UALIMU NI KAZI SANA.