Mudi_kidato
Senior Member
- Sep 6, 2019
- 145
- 182
Habari wana JF nimerudi tena, leo nimekuja na jambo moja. Mimi ninafanya kazi vizuri, inaniingizia kipato lakini kuna kitu napenda sana maisha yangu. Napenda kufanya kazi ya udereva au tanboy katika magari ya nje au ya hapa ndani.
Pia kama itatokea nikapata conection nikaweza kupata mtu wa kuniweka kushoto nikapata uzoefu nitashukuru nitaacha kaz ninayofanya nitafuatana naye hata ikiwa bure bila malipo sawa.
Wale matapel kaeni mbali sina hela ya kutoa ndiyo nipate kazi.
Pia kama itatokea nikapata conection nikaweza kupata mtu wa kuniweka kushoto nikapata uzoefu nitashukuru nitaacha kaz ninayofanya nitafuatana naye hata ikiwa bure bila malipo sawa.
Wale matapel kaeni mbali sina hela ya kutoa ndiyo nipate kazi.