makasy
Member
- Nov 20, 2018
- 15
- 1
Natafuta Vijana wawili tu Kwa Kila Mji kwenye Miji ifuatayo:-
Mbeya, Arusha, Moshi, Iringa, Mwanza, Tanga na Mtwara.
Nahitaji Vijana hao kwa Ajili ya Kazi ya Kutoa Elimu na Kusajiri Madereva wa Boda Boda, Taxi na Baji kwenye Mfumo wa Kuwasaidia Kupata Abiria (HAVEN). Kupitia Mfumo Huu Dereva na Abiria Wataweza Kuonana kwenye Ramani za Mji Husika. Pia Dereva ataweza kuona Route ya Abiria wake.
NOTE:
1.Mfumo Huu Utaweza Kutumiwa Pia na Madereva Wasio na Smartphone au Ambao smartphone zao zimeishiwa chaji.
2. Hii Ni kazi ya Siku tano tu kwa Watakao kuwa Wamepewa Kazi hii.
3. Muombaji awe na Android Smartphone
4. Fursa hii ni Kwa Vijana tu bila kujali Kiwango cha Elimu Yake
Maombi Yatumwe Kwenda (Wasifu TU/CV tu)- xebusinesshaven@gmail.com au softwaremachinga@gmail.com
Mbeya, Arusha, Moshi, Iringa, Mwanza, Tanga na Mtwara.
Nahitaji Vijana hao kwa Ajili ya Kazi ya Kutoa Elimu na Kusajiri Madereva wa Boda Boda, Taxi na Baji kwenye Mfumo wa Kuwasaidia Kupata Abiria (HAVEN). Kupitia Mfumo Huu Dereva na Abiria Wataweza Kuonana kwenye Ramani za Mji Husika. Pia Dereva ataweza kuona Route ya Abiria wake.
NOTE:
1.Mfumo Huu Utaweza Kutumiwa Pia na Madereva Wasio na Smartphone au Ambao smartphone zao zimeishiwa chaji.
2. Hii Ni kazi ya Siku tano tu kwa Watakao kuwa Wamepewa Kazi hii.
3. Muombaji awe na Android Smartphone
4. Fursa hii ni Kwa Vijana tu bila kujali Kiwango cha Elimu Yake
Maombi Yatumwe Kwenda (Wasifu TU/CV tu)- xebusinesshaven@gmail.com au softwaremachinga@gmail.com