Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,458
- 45,750
Ndugu wana jf matumaini yangu mtachangia kwa somo hilo hapo juu, kwa kweli Mayor wa dar huwa simsikii kabisa au hata kumsoma katika magazeti akichangia chochote au kafanya hiki au kile ukilinganisha na mayor wa majiji mengine duniani huenda ninaweza kupata ufunuo kidogo kutoka kwenu wataalamu wa kazi hii.
Kila nchi ina kanuni zake kitaifa kwa kazi zinazofanywa na mayor, kwa mfano UK Boris Johnson ana uwezo wa kukuza uchumi wa jiji na mamlaka ya mipango miji na kadhalika, uwezo pia ana uwezo wa kusaini mikataba ya nje kama alivyoingia mkataba na marehemu Hugo chaves wa Venezuela la mafuta.
Pia kwa NY aliekuwa Mayor wa jiji alikuwa na mamlaka makubwa pia alipiga marufuku uvutaji wa sigara sehemu nyingi na ikapita pia public health ni jukumu lake, majukumu hayo ya NY yamefuatwa na miji mingi duniani kama German na Italy na pia Dublin ikijiandaa, pia tukimwangalia Mayor wa Mexico city alitoa amri ya kukubali abortion na ikapita bila kupingwa.
Pia ndio wanalo jukumu la kupanga bajeti ya jiji lote au kusimamia, nijuavyo meya anauwezo hata kupokea wageni, kusimamia kura, kutoa maamuzi wakati wa mafuriko na athari zote kubwa. Sasa hao watu na kazi zao zinaonekana kimataifa na watu wenye uwezo mkubwa na wengine wana nguvu kitaifa kuzidi hata mawaziri wakuu na mishahara yao minono lakini, hebu tumjadili Mayor wetu wa jiji asanteni.
Kila nchi ina kanuni zake kitaifa kwa kazi zinazofanywa na mayor, kwa mfano UK Boris Johnson ana uwezo wa kukuza uchumi wa jiji na mamlaka ya mipango miji na kadhalika, uwezo pia ana uwezo wa kusaini mikataba ya nje kama alivyoingia mkataba na marehemu Hugo chaves wa Venezuela la mafuta.
Pia kwa NY aliekuwa Mayor wa jiji alikuwa na mamlaka makubwa pia alipiga marufuku uvutaji wa sigara sehemu nyingi na ikapita pia public health ni jukumu lake, majukumu hayo ya NY yamefuatwa na miji mingi duniani kama German na Italy na pia Dublin ikijiandaa, pia tukimwangalia Mayor wa Mexico city alitoa amri ya kukubali abortion na ikapita bila kupingwa.
Pia ndio wanalo jukumu la kupanga bajeti ya jiji lote au kusimamia, nijuavyo meya anauwezo hata kupokea wageni, kusimamia kura, kutoa maamuzi wakati wa mafuriko na athari zote kubwa. Sasa hao watu na kazi zao zinaonekana kimataifa na watu wenye uwezo mkubwa na wengine wana nguvu kitaifa kuzidi hata mawaziri wakuu na mishahara yao minono lakini, hebu tumjadili Mayor wetu wa jiji asanteni.