reginahope
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 163
- 30
habarini wanajf.jamani binafsi sina amani kutokana na kutokuwa na kazi mda mrefu. hivyo niko tayari hata kununus kazi. kazi zimekuwa ngumu sn hasa kama hauna mtu unayemfahamu katika system. kwa anayeweza kunisaidia kwa hili nipo tayari kumpa pesa safi cha msingi nitimize ndoto yangu ya kuajiriwa. kwa aliye tayari naomba anipm