MAUBIG JF-Expert Member Apr 3, 2012 1,038 854 Dec 1, 2012 #1 Hebu mcheki huyu mjeda anavyogangamala, kwa kweli sio mchezo haihitaji usharobaro
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Dec 1, 2012 #2 Na inaonyesha aliamua kukakamaa kila pande yakatokea hayo
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,140 13,215 Dec 1, 2012 #5 Ana spea nyingi ndio maana anajiamini
C chitanda.nyoka Senior Member May 3, 2012 193 43 Dec 1, 2012 #6 kama angekua hajavaa boxer ingekua noma
Ukwaju JF-Expert Member Oct 19, 2010 13,370 11,088 Dec 2, 2012 #9 watu8 said: hiyo ni AC... Click to expand... Kiboko maana karibu mzigo utachungulia hiyo Vent Tanzania hazijaingia, Hawa viherehere sijui wa Nchi gani
watu8 said: hiyo ni AC... Click to expand... Kiboko maana karibu mzigo utachungulia hiyo Vent Tanzania hazijaingia, Hawa viherehere sijui wa Nchi gani