Kazi ya BOT ni nini? Shilingi yazidi kuporomoka, sasa $1=Tsh. 1,500

Ni Tanzania pekee ambapo unaweza kuruhusiwa kufanya biashara, ukauza na fedha za mauzo zikapelekwa nchi nyingine!!

Ndiyo... makampuni yote ya madini Tanzania yanauza madini na malipo ya mauzo hayo hupelekwa moja kwa moja kwenye "mother companies" zinazomiliki migodi hiyo, kinacholetwa nchini ni kwa ajili ya kulipia gharama ndogo ndogo kama vi-mishahara vya vibarua(wafanyakazi wa kibongo), "sundry supplies" na kodi kidogo..
Mzigo wote unachukuliwa juu kwa juu.

Kama sheria zingelifuatwa mauzo ya dhahabu yote yangeliletwa nchini halafu makampuni hayo yakawalipa wadeni wao kutoka kwenye account zao za hapa na si vinginevyo basi shilingi ya Tanzania ingekuwa ndo yenywe nguvu kuliko karibu nchi zote za Afrika Mashariki... sisi ni wa tatu kwa uzalishaji wa dhahabu Afrika!!!!

Madhara ya kuruhusu makampuni kutoleta mauzo yao hapa ni mengi:
  • Kushindwa kujua mapato halisi ya makampuni haya hivyo kushindwa kupata kodi kutoka kwenye makampuni haya kadri ipasavyo
  • Fedha yetu kushindwa kuimalika kama ambavyo ilitakuwa kwa ku-export madini mengi
  • Kuyakosesha mapato mabenki ya nchini na mengine mengi
Je tutaendelea kuibiwa mpaka lini????????????????
 
Asante kaka, Mimi nimechoka kusema na nchi hiii. 10% imezidi sana
 
Simple: Because our economy severely depends on agriculture, which makes up almost half of the country's GDP. Also accounts for 85% of exports and employs 80% of the work force. Other important sectors are mining and tourism.

These three important sectors Mining, tourism and agriculture are given less importance by our government hence accounting to high inflation...
 
Simple: Because our economy severely depends on agriculture, which makes up almost half of the country's GDP. Also accounts for 85% of exports and employs 80% of the work force. Other important sectors are mining and tourism. These three important sectors Mining, tourism and agriculture are given less importance by our government hence accounting to high inflation...
mkuu rudia swali haujalielewa.
 
ahahahahahahaaa....mie hata sijui kama tsh imeshuka...NDIO...maana natumia USD...kodi ya nyumba nalipia kwa usd, kununua magari usd, kutongoza malaya kwenye mabaa na mitaani nalipia usd, kununua vitu vyooote hapa ni usd tu...i wish tusingekuwa na pesa yetu i.e. TSHS maana sioni inatusaidia nn wakati kila kitu hapa nchini ni USD....ACHA IPOROMOKE MPAKA IPOTELEE BAHARINI KWENYE KINA KIREFU ISIRUDI TENAAA
 
ahahahahahahaaa....mie hata sijui kama tsh imeshuka...NDIO...maana natumia USD...kodi ya nyumba nalipia kwa usd, kununua magari usd, kutongoza malaya kwenye mabaa na mitaani nalipia usd, kununua vitu vyooote hapa ni usd tu...i wish tusingekuwa na pesa yetu i.e. TSHS maana sioni inatusaidia nn wakati kila kitu hapa nchini ni USD....ACHA IPOROMOKE MPAKA IPOTELEE BAHARINI KWENYE KINA KIREFU ISIRUDI TENAAA

You are lucky!! Vipi kaka zako na shangazi zako kule kijijini? Au wewe ndo wale waliowahi mkahamisha na jamaa zenu...
 
Siyo kweli. Nchi nyingi unauza na kutumia fedha zako utakavyo bila control unayosema hapa. tatizo lililopo TZ ni kwamba wawekezaji hawana confidence na financial systems zetu kama za kibenk na securities. Ndiyo maana cash outward flow ni kubwa sana. Lakini nchi nyingi sana kwa mfano Dubai unaweza kuingia na kutoka na fedha yoyote bila kuulizwa na mtu yoyote popote pale.
 
Weak country can never produce a strong currency.

Measuring our purchasing power in terms of dollars, is like deriving a functions than gives relationship exist between Tanzanian Economic and that od US. Then now you have an answer. The Tanzanian power to purchase is 1480 times inferior to that of US. Poor, Tanzania, Importation grow up, while we record low rate of exportation.

Nimekumbuka uchumi nikiwa SHYCOM. Mambo ya balance of payment. Kwetu ni unfavorable. Lazima tuangalie sera zetu, nchi yetu bado changa huwezi kulinganisha na Falme za Kiarabu. Lazima wawekezaji watuachie kidogo badala ya kuruhusiwa kuamisha mkwanja wote. Pia lazima Import substitute industry zianzishwe.

Mfano Furniture, kwa nini tuuze magogo au mbao alafu tuagize furniture kwa nini tusijijengee uwezo wa kutengeneza furniture bora hapa nyumbani. Badala ya kila mtanzania (wa Dar) kutaka kuwa na gari lake kwa nini tusiweke infrastructure nzuri watu watumie public transport na magari yatumike weekend kwa outing. Tutapunguza matumizi makubwa ya imported fuel. Na mengi mengineyo
 
:( :thinking: dollar ipigwe marufuku,kila kitu kiwe in Tsh,watanzania waelimishwe umuhimu wa currency yetu.petroli na gesi yetu ya songas itumike ktk kuendesha magari,mabasi ,hii itapunguza our major import,(fuels) hapo sasa tutakuwa tunaimport vichache and of kozi kilimo kipewe kipaumbele,mtu kama Azam anaimport almost kila kitu,inabidi kodi ya chakula cha kuimport ipande mara dufu kama kodi ya magari
 
Kazi hipo kubwa mbeleni,kamati za bunge zinazoshughulikia maswala ya fedha zinatakiwa kuwaenyesha hawawa mabosi wa BoT mpaka kieleweke.Inatakiwa mipango madhubuti ya muda mfupi na ya muda mrefu wa kuikwamua shillingi yetu.

Makongamano ya mabingwa wa fedha na uchumi yanatakiwa kuwepo mara kwa mara kubadirishana mawazo. Vyombo vya habari television,radio na magazeti habari ya biashara ni adimu. Ni jambo la kushangaza kukuta magazeti kama daily news gazeti la kila siku la serikali sehemu ya shughuli za biashara hakuna kabisa habari za biashara, kuna habari nyingine hazihusiki na biashara.Television zetu katika taarifa za biashara ni chini ya dakika 10 tu.

Sasa tunategemea nini?
 
Wadau... hatuwezi jibu swali la kuporoka kwa Shillingi against US dolar kama hatutaweza kuonyesha mporomoko wa shilling against currency zingine kama Pound, Euro, etc.

Asanteni
 
Kazi ya BOT ni kukopeshana hela za kujenga nyumba bila riba na kujenga nyumba za magavana kwa bilion 2 na ushee! Hii habari ya control ya inflation sio moja ya KPI zao!!!
 
Kazi ya BOT ni kukopeshana hela za kujenga nyumba bila riba na kujenga nyumba za magavana kwa bilion 2 na ushee! Hii habari ya control ya inflation sio moja ya KPI zao!!!

Umezungumza kwa ufanisi zaidi na labda niongeze kusambaza virusi vya ukimwi kwa vijana wa kike na wakiume wenye njaa. Perhaps tujiulize kwanini shillingi yetu haipa thamani kila siku??? Hata kama sarafu kama dola au pound zinashuka lishilingi liko palepale nini tatizo?
 
Upoongelea value of Tanzanian Shilling, unatakiwa kujua kuwa Tanzania inatumia mfumo gani wa exchange rate kati ya

1. "Fixed exchange rate" - Where a fixed price of foreign currency is set by central bank(Gov) au

2. "Free floating exchange rate" ambapo thamani ya shilling inatokana na demand and supply katika masoko ya fedha za kigeni.

Tanzania inatumia free floating exchange system - hii ina maana kwamba kama demand ya shillingi itakuwa juu kulingana na fedha za kigeni katika masoko ya fedha ni wazi kuwa thamani ya shillingi itakuwa juu, na kama demand ya fedha ya kigeni itakuwa juu basi ni wazi kuwa thamani ya shillingi itashuka kulingana na high demand in foreign currency. Kwa kawaida thamani ya shillingi ya Tanzania inakuwa expressed interms of USD, utaona kuwa kama mahitaji ya US dollar yanapokuwa makubwa Tanzania, thamani ya shillingi hushuka na ndicho kinachotekea sasa.

Kitu kingine kinachoweza kushusha thamani ya shillingi ni kushuka kwa bei ya mazao ya biashara yanayosafirishwa nje (Export commodity) kama Tumbaku, Kahawa, Korosho, karafuu na mazao mengine ya biashara ambacho kwa Tanzania ndiyo chanzo cha biashara ya kimataifa kinachotuletea fadha za kigeni ukiacha madini ambayo mauzo yake nje huishia hukohuko kwenye nchi za wawekezaji.

Kwa nini serikali ni ya kulaumiwa kwenye hili?: Mara nyingi BOT walichokuwa wakikifanya ili kustabilize money market ni ku-release dola kwa wingi kwenye market ili ku-beat demand, hii ni short term measure ambayo hutegemea sana uwingi wa foreign currency reserve iliyopo BOT. Kilichokuwa kikifanyika ni BOT ku-release dollar na wajanja wachache wenye madafu ya ufisadi kununua USD na kuzisafirisha nje ya Tanzania kweye accounts zao binafsi (unakumbuka mzee wa vijisent na USD 1M?, wa hivi wapo wengi sana kwenye serikali ya Tanzania).

Kingine ni usimamizi mbovu wa serikali kuzuia local transactions kufanyika kwa USD. Moja kati ya risk management ya kuzuia exchange rate translation loss ni kucharge local transactions kwa foreign currency. Katika nchi nyingi ni illegal kufanya biashara ya ndani kwa kutumia foreign currency. Sisi Tanzania tunaongelea majukwaani tu kwani wasimamizi wa sheria ndiyo wenye majumba ya kupanga upanga na oysterbay na wabia wa mahoteli na vitega uchumi ambavyo hutozai USD tu(conflict of interest) na kama ukienda na Tshs unaletewa bill ya USD na kutumia exchange rate ya siku hiyo kuchukulia madafu yako.

Tatizo ni viongozi na serkali kwa ujumla kutokufanya kazi yao na kudhibiti hii hali kwa kulindana wao na masilahi ya maswahiba wao. Sijawahi kuona nchi inayotumia foreign currency katika govt level hasa taxation zaidi ya Tanzania. Yaani ni kama nchi ya misheni town, serikali misheni town yaani ni usanii kwa kwenda mbele.
 
DSC07893.JPG


Wakuu hii ndo bei ya madafu leo sokoni.
Hapa wadau wa uchumi mnasemaje uchumi unakua au unadidimia maana mkuu wa nchi anajigamba na waziri wake wa Fedha kuwa uchumi wa nchi unakua je unakua kwa bei ya dola kupaa namna hii?
 
Wakuu, ni muhimu kujadili hili suala............hebu tumsome huyu Ndugu yetu anavyo eleza kuhusu athari na hatua tunazoweza kuchukua............


.........From Michuzi Blog..............

John mashaka hits at the fall of madafu

THE FALL OF THE SHILLING…..DEBATE!

The sudden drop in value of the domestic currency, Tanzanian Shilling, against major global currencies, is a matter of great concern. Currency Board – regulators- must urgently come up with a fix to contain this potential economic nightmare from become contagion; sending the domino effect into our main stream ailing economy, and perhaps plunging our country into economic chaos.

Within a span of two months, United States dollar has jumped from Tsh.1250 to a median of Tsh1400, against the Tanzanian shilling; a whopping 12% leap and seemingly sprinting towards Tsh 2,000, per one USD. This currency instability –fluctuation-is quite worrisome, not only to the domestic and foreign corporations; but to the entire economic spectrum. This trend may unravel uncontrollable inflation, and perhaps retard or suppress economic activity –growth-. This is a national concern that is sending chilling effects amongst the citizens on the direction of the nation. We can only ask ourselves on the mechanism that triggered, so abruptly, the fall of the shilling?

Purchase of foreign made industrial, agricultural equipment, and spare-parts need foreign currency –US Dollar, GB pound, Euro etc- . We need foreign currency for the importation of automobiles, purchase of medicine and other medical related equipment. Foreign currency is needed to send our children to school in India, Malaysia, UK, America etc. We even need foreign currency to import the cheap goods from Far East, and in the face of high unemployment, and stagnant wages, this sharp fall of currency, proportionally diminishes our purchasing power parity

A fall of the shilling means investments within the country will result in lower returns when converted back to the foreign currency, as such, most of foreign corporations will have no choice but to raise cost of their goods and services to meet operating cost and at the same time remain profitable. Otherwise, they may be forced to shut down their operations. Likewise, when the value of a domestic currency falls sharply, importation of essential goods and commodities proportionally decreases, resulting into a massive inflation, characterized by sky high prices of essential goods, and commodities

A few months ago, we discussed the impact of dollarization of an economy. Today we are inclined to revisit the topic, along with the nay Sayers – John Mashaka's vehement critics-, in order to explain how our country has gotten into this ferocious economic debacle? When we have to pay for housing, air ticket, maritime, and other services in foreign currency, we end up creating an artificial excessive demand for foreign currencies. Since our country's has a negative balance of payment, or trade imbalance; meaning we import more than we export, our foreign currency reserve is must always play in the negative territory

What the country is experiencing today is without a doubt, a beginning of an extreme inflation. I believe that, inflation will be a major event in the latter part of the year, with the consumer price index roughly doubling in the next few months. Taking into account the rate of unemployment, and stagnant wages vs. rise in cost of living, I tend to see prices of basic commodities doubling and even tripling in the next few months, should the shilling continue to lose ground against major currencies. This situation will force many importers out of business as a result of high cost of the foreign goods in relation to the revenue needed to remain operational

The abrupt dive of our currency may be poor man's problem at the moment, but has time goes, even the societal elite will fill the pinch when some of their billions stashed domestically, turns out to be worthless. It becomes unsustainable when a loaf of bread fetches more than Tsh. 10,000, Sugar Tsh. 12,000 and so forth. Already, millions around the country are experiencing unusual economic hardship; my recent trip to Tanzania exposed me to rather, a painful encounter; I met a school teacher who could not only send her son to a secondary school, but was also unable to buy one kilogram of sugar. Similar stories are everywhere in Tanzania

Zimbabwe is a vivid example our country should learn from, and with elections nearing, we SHOULD expect both legal and ill gotten money into the circulation chasing few goods, and the little foreign currency in the country. Without enforcement of monetary policies, domestic usage of the dollar will only continue to thrive. This must be stopped at all cost, as it makes very little sense to use a foreign currency in a sovereign nation. Why should people pay rent in USD? Why should people purchase air tickets with foreign currencies?

If the wealthy within the establishment are imposing the usage of United States dollar, so that they can transfer their wealth into their foreign bank accounts, for the sake of the majority which is more than 98%, Governor Ben Ndulu, should be given more teeth to reign on commercial banks, and other financial institutions exhilarating this problem immediately, as this is one of the primary causes of the demise of the Shilling, else, we must reconcile with the emergence of new class of worthless of billionaires as the shilling continue to fall in value

On the face of the gloomy global economic outlook, we are certainly sure that, even our European and other Western backers currently battling economic blues of their own, will reduce the amount of aid to our country, which accounts for a bigger percentage of our national budget. Consequently, we should embrace ourselves for the worst case economic scenario as the foreign currency crisis will only deepen

With the prevailing economic hardship, many of the donor countries are not ready to prop-up nations with unclear economic policies. In the eyes of the world, we have failed to demonstrate fiscal conservativeness, and neither do we have visible, and attainable economic policies. In a simple language, we are corned with no way out. The only option we have is to make a u-turn from being donor dependant, to being an innovative nation, with abilities to correct our negative balance of payment. The onus is in the hands of our country leadership to adopt, and implement attainable economic policies. We must encourage domestic manufacturing; boost our exports while reducing our importation of the unnecessary goods to choke off excessive demand for the foreign currencies.

It is natural that humans respond positively by being innovative in times of need, than in times of abundance.
This is the time to make good use of our natural resources; we must closely scrutinize the export our minerals to make sure the exports returns home in the form of foreign currency. We must massively advertize, and modernize our infrastructure to improve our tourism sector, expand and make less complicated our maritime services to attract businesses from land locked countries, which will in turn boost our access to foreign currencies. Amid global economic slowdown, our ministries must reduce or cut completely unnecessary foreign trips, straining and consuming millions of dollars from the treasury

In an absolute, or in worst case scenario, although these are extreme measures, we may be forced to peg our currency against the United States Dollar, British Pound and the Euro to save our economy from collapsing, or simply dollarize our economy as a measure of the last resort. This will give room for a fresh start even though will be extremely difficult for ordinary citizens, I however, have faith in Governor Ben Ndulu, should he be given the necessary tools and support he needs to curb this growing fiscal nightmare. This is my perspective let me hear yours!

Mungu Ibariki Tanzania

John Mashaka
mashaka.john@yahoo.com
 
"""This is the time to make good use of our natural resources; we must closely scrutinize the export our minerals to make sure the exports returns home in the form of foreign currency. We must massively advertize, and modernize our infrastructure to improve our tourism sector, expand and make less complicated our maritime services to attract businesses from land locked countries, which will in turn boost our access to foreign currencies. Amid global economic slowdown, our ministries must reduce or cut completely unnecessary foreign trips, straining and consuming millions of dollars from the treasury"""

The Question is, Do we have people capable of doing that??? talking about our Ministries, Are they ready to reduce trips??? to start with, the President himself, Can he manage to do that?? Hii ndio Tanzania jinsi uijuavyo!!!

 
Back
Top Bottom