Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Hivi jamani BOT wameshindwa ku intervene forex market?
Ndani ya siku 26 tu, shilingi imeporomoka kutoka Tsh 1360/US$ kufikia Tsh1492/US$.
Katika hili kazi ya BOT ni nini?
Mbona wenzetu wa Kenya shilingi yao imekuwa stable sana for the past 7 years.
Tatizo nini hapa kwetu? Je turudi kwenye mfumo wa ku control unnecessary importations ili tuweze kusave vidola vichache tunavyovipata kutokana na exports?
Wadau na wataalamu wa masuala ya uchumi tusaidiane katika ili!!
Ndani ya siku 26 tu, shilingi imeporomoka kutoka Tsh 1360/US$ kufikia Tsh1492/US$.
Katika hili kazi ya BOT ni nini?
Mbona wenzetu wa Kenya shilingi yao imekuwa stable sana for the past 7 years.
Tatizo nini hapa kwetu? Je turudi kwenye mfumo wa ku control unnecessary importations ili tuweze kusave vidola vichache tunavyovipata kutokana na exports?
Wadau na wataalamu wa masuala ya uchumi tusaidiane katika ili!!