SectionTwenty
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 674
- 604
Habari zenu... daah jaman kama kuna mtu ana Bakery na anatafuta mtu wa kuslace mikate anifanye mpango coz nna uzoefu wa kazi hiyo... hata kama kuna kazi nyingine poa tu mi nipo tayari.
Tuwasiliane PM au hata hapa hapa. Nitashukuru sana.
Tuwasiliane PM au hata hapa hapa. Nitashukuru sana.