Elections 2010 Kazi waliyotumwa wameimaliza

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,870
155,831
Wale vibaraka waliotumwa na sisiemu kuja kuchafua hali ya hewa hapa JF muda wao wa kazi umeisha na sasa wanarudi rasmi kwenye shughuli zao nyingine.
Ninaamini JF itarudui kwenye status yake ya miaka yote.
Malaria Sugu na kundi lako kwaherini, pia pole sana kwa kupoteza majimbo na kata nyingi.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA
 
Wale vibaraka waliotumwa na sisiemu kuja kuchafua hali ya hewa hapa JF muda wao wa kazi umeisha na sasa wanarudi rasmi kwenye shughuli zao nyingine.
Ninaamini JF itarudui kwenye status yake ya miaka yote.
Malaria Sugu na kundi lako kwaherini, pia pole sana kwa kupoteza majimbo na kata nyingi.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA

Hope this message goes to the other side too.....
 
Wale vibaraka waliotumwa na sisiemu kuja kuchafua hali ya hewa hapa JF muda wao wa kazi umeisha na sasa wanarudi rasmi kwenye shughuli zao nyingine.
Ninaamini JF itarudui kwenye status yake ya miaka yote.
Malaria Sugu na kundi lako kwaherini, pia pole sana kwa kupoteza majimbo na kata nyingi.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA

Poleni pia kwa kutotimia kwa matumaini yako. Tutaendelea kusoma ila kuchangia itakuwa mara chache chache, mara 1 baada ya miezi kadhaa sio mbaya. Ila mpaka aapishwe JK ndiyo tutatulia kiasi!
 
Poleni pia kwa kutotimia kwa matumaini yako. Tutaendelea kusoma ila kuchangia itakuwa mara chache chache, mara 1 baada ya miezi kadhaa sio mbaya. Ila mpaka aapishwe JK ndiyo tutatulia kiasi!

You are Evil.Mageuzi ndo yameanza kati ya leo na miaka 10 ijayo sioni kama utaendelea kufurahia udhalimu wenu tena.
It's getting more harder and harder dawg,Dr. Slaa kawasha moto mbaya.
And you know what? There are millions of Dr. Slaas coming!..Hold on.
 
You are Evil.Mageuzi ndo yameanza kati ya leo na miaka 10 ijayo sioni kama utaendelea kufurahia udhalimu wenu tena.
It's getting more harder and harder dawg,Dr. Slaa kawasha moto mbaya.
And you know what? There are millions of Dr. Slaas coming!..Hold on.

True there are millions of Dr Slaa ma dear, mind you within CCM also!
 
Poleni pia kwa kutotimia kwa matumaini yako. Tutaendelea kusoma ila kuchangia itakuwa mara chache chache, mara 1 baada ya miezi kadhaa sio mbaya. Ila mpaka aapishwe JK ndiyo tutatulia kiasi!

Kuipiswa si Kutawala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom