wanahitajita wafanyakazi sita wa supermarket wawe na uzoefu usiopungua miaka 3 katika kazi ya supermarket/ au duka kubwa awe ni mtu anaye weza kujisimamia mwenyewe kufanya stock analysis na kutumia computer vizuri, ajue mambo ya market strategic
ofisi ipo Dar es salaam ,tabata maelezo mengine atajibiwa
mshahara mnono utatolewa pamoja na marupurupu
tuma CV kwenye mail ifuatayo elly0002@yahoo.com
dead line 4/12/2012
ofisi ipo Dar es salaam ,tabata maelezo mengine atajibiwa
mshahara mnono utatolewa pamoja na marupurupu
tuma CV kwenye mail ifuatayo elly0002@yahoo.com
dead line 4/12/2012