Wakuu naomba mnisaidie kufahamu, mimi nimeacha kazi rasmi November mwaka jana. Ni serikalini.
Niliandika barua ya kuresign ila mpaka sasa sijajibiwa, ila mshahara umesitishwa.
Nachoomba kueleweshwa ni je naweza kupata pension yangu niliyochangia kwa miaka minne kazini? Nilikuwa mfuko wa Pspf.
Na process zao ziko vipi?
Niliandika barua ya kuresign ila mpaka sasa sijajibiwa, ila mshahara umesitishwa.
Nachoomba kueleweshwa ni je naweza kupata pension yangu niliyochangia kwa miaka minne kazini? Nilikuwa mfuko wa Pspf.
Na process zao ziko vipi?