Kazi niendayo kufanya usiku huu...

Kipindi nilikua msomaji tu JF kabla sijajiunga nilikua napenda Sana story za mshana Jr nikua nasoma kwa hisia Sana nyingi ni zakuhuzunisha nyingine ni zakutisha. Halafu kulikua na mtu mmoja alikua ana jiita mngoa kucha jama alini chesha na ule ujumbe wa wakili pale kinondoni. Heshima kwenu mshana mungu akupe afya njema Kaka mkubwa.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom