Kazi na Utu: hii slogan itawaondoa watu waliotumiwa kudhalilisha utu kazini

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
17,643
28,867
Slogani hii inaenda kuleta ubinadamu, utu, upendo, heshima katika kazi. Ushalilishaji, uonevu, ukandamizaji katika kazi sasa umefikia mwisho.

Iwe katika kilimo, bei nzuri ya mazao, viwandani na ma ofisini, udhalilishaji ukome, mambo ya kusimama jukwaani kudhalilisha watumishi au wafanyabiashara ikome. Utu utamalaki, kazi ni utu, utu ni kazi.

Kila mtu anastahili kuheshimiwa utu wake, ndio katiba inasema hivyo.
 
Slogani hii inaenda kuleta ubinadamu, utu, upendo, heshima katika kazi. Ushalilishaji, uonevu, ukandamizaji katika kazi sasa umefikia mwisho.

Iwe katika kilimo, bei nzuri ya mazao, viwandani na ma ofisini, udhalilishaji ukome, mambo ya kusimama jukwaani kudhalilisha watumishi au wafanyabiashara ikome. Utu utamalaki, kazi ni utu, utu ni kazi.

Kila mtu anastahili kuheshimiwa utu wake, ndio katiba inasema hivyo.
Vipi kuhusu Bashite?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom