chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 17,643
- 28,867
Slogani hii inaenda kuleta ubinadamu, utu, upendo, heshima katika kazi. Ushalilishaji, uonevu, ukandamizaji katika kazi sasa umefikia mwisho.
Iwe katika kilimo, bei nzuri ya mazao, viwandani na ma ofisini, udhalilishaji ukome, mambo ya kusimama jukwaani kudhalilisha watumishi au wafanyabiashara ikome. Utu utamalaki, kazi ni utu, utu ni kazi.
Kila mtu anastahili kuheshimiwa utu wake, ndio katiba inasema hivyo.
Iwe katika kilimo, bei nzuri ya mazao, viwandani na ma ofisini, udhalilishaji ukome, mambo ya kusimama jukwaani kudhalilisha watumishi au wafanyabiashara ikome. Utu utamalaki, kazi ni utu, utu ni kazi.
Kila mtu anastahili kuheshimiwa utu wake, ndio katiba inasema hivyo.