Kazi mshahara TGS 8

EMELDA

New Member
Mar 11, 2011
1
0
Habari wana jf, naomba kufahamu wanapotangaza mshahara ni tgs 8 huwa unakuwa ni kiasi gani. Ningependa kujua kiasi ili niweze kucompare na kiasi ninachokipata kwa sasa ....wasiwasi wangu isije ikawa ni ndogo compared to what am getting.

Asanteni
 
Habari wana jf, naomba kufahamu wanapotangaza mshahara ni tgs 8 huwa unakuwa ni kiasi gani. Ningependa kujua kiasi ili niweze kucompare na kiasi ninachokipata kwa sasa ....wasiwasi wangu isije ikawa ni ndogo compared to what am getting.

Asanteni

Nijuavyo mimi hakuna kitu TGS 8. Scale za mishahara kwa tanzania zipo 3
1. TANZANIA GOVERNMENT OPERATIONAL SCALE - TGSO
2. TANZANIA GOVERNMENT GENERAL SCALE - TGS
3. TANZANIA TEACHERS SCALE - TGTS

Scale zote zinatumia alpahabet siyo tarakimu na zinaanza na A na kuendelea. Baada ya alphabeti ndo hufuata tarakimu ambazo huonesha increment kwa kila scale. Mfano Mtumishi anayeajiriwa mwenye degree ya miaka 3 huanza na TGS D.1. Ataendelea kuongezwa mfano TGS D.2, TGS D.3,.......na akifika TGS D.12 anagota na inabidi ahamie TGS E.
Hope nimekuridhisha kidogo
 
Nijuavyo mimi hakuna kitu TGS 8. Scale za mishahara kwa tanzania zipo 3
1. TANZANIA GOVERNMENT OPERATIONAL SCALE - TGSO
2. TANZANIA GOVERNMENT GENERAL SCALE - TGS
3. TANZANIA TEACHERS SCALE - TGTS

Scale zote zinatumia alpahabet siyo tarakimu na zinaanza na A na kuendelea. Baada ya alphabeti ndo hufuata tarakimu ambazo huonesha increment kwa kila scale. Mfano Mtumishi anayeajiriwa mwenye degree ya miaka 3 huanza na TGS D.1. Ataendelea kuongezwa mfano TGS D.2, TGS D.3,.......na akifika TGS D.12 anagota na inabidi ahamie TGS E.
Hope nimekuridhisha kidogo

Maelezo yako ni sahihi katika ufafanuzi lakini si kweli kwamba scale za Mishahara TZ ni tatu tu, kuna kada ya afya TGHOS na TGHS, kuna kada ya Mahakama wao wanatumia TJS with numbers yaan TJS1, TJS2, N.K na icrements zinasoma with decimals like TJS1.1, TJS 1.2 N.K. Pia kuna kada ya watumishi wa ofisi ya mwanasheria Mkuu ambao wanatumia AGCS with numbers na zinaanzia 4 i.e AGCS4.
Kwa kufuata maelezo ya aliyeanzisha thread, ni kweli alichoandika hakipo ila yawezekana alimaanisha TJS8, kama hvyo ndivyo basi mshahara wake ni 3,340,000 FIXED.
 
Basi naomba mtu mwenye list ya hizi grade na code za mishahara pamoja na tsh. zake atuwekee ili tufaidike.
 
Maelezo yako ni sahihi katika ufafanuzi lakini si kweli kwamba scale za Mishahara TZ ni tatu tu, kuna kada ya afya TGHOS na TGHS, kuna kada ya Mahakama wao wanatumia TJS with numbers yaan TJS1, TJS2, N.K na icrements zinasoma with decimals like TJS1.1, TJS 1.2 N.K. Pia kuna kada ya watumishi wa ofisi ya mwanasheria Mkuu ambao wanatumia AGCS with numbers na zinaanzia 4 i.e AGCS4.
Kwa kufuata maelezo ya aliyeanzisha thread, ni kweli alichoandika hakipo ila yawezekana alimaanisha TJS8, kama hvyo ndivyo basi mshahara wake ni 3,340,000 FIXED.

Ok. hizo nilikuwa sizijui mkuu
 
Nijuavyo mimi hakuna kitu TGS 8. Scale za mishahara kwa tanzania zipo 3
1. TANZANIA GOVERNMENT OPERATIONAL SCALE - TGSO
2. TANZANIA GOVERNMENT GENERAL SCALE - TGS
3. TANZANIA TEACHERS SCALE - TGTS

Scale zote zinatumia alpahabet siyo tarakimu na zinaanza na A na kuendelea. Baada ya alphabeti ndo hufuata tarakimu ambazo huonesha increment kwa kila scale. Mfano Mtumishi anayeajiriwa mwenye degree ya miaka 3 huanza na TGS D.1. Ataendelea kuongezwa mfano TGS D.2, TGS D.3,.......na akifika TGS D.12 anagota na inabidi ahamie TGS E.
Hope nimekuridhisha kidogo
Kuhamia E sio lazima ufike D.12 Mkuu mbona miaka mingi sana! Ukifika D.3 hadi D.5 unatakiwa kupndishwa cheo kwenda E. Kama hakuna tatizo lolote mtumishi hawezi kukaa kwenye cheo kioja mpaka miaka 12 labda awe amefika kwenye bar mfano mwenye H akifika 12 ndio mwisho
 
aiseeeeeee mambo ya serikali nina allergy nayo.. but thanks kwa shule
 
Nijuavyo mimi hakuna kitu TGS 8. Scale za mishahara kwa tanzania zipo 3
1. TANZANIA GOVERNMENT OPERATIONAL SCALE - TGSO
2. TANZANIA GOVERNMENT GENERAL SCALE - TGS
3. TANZANIA TEACHERS SCALE - TGTS

Scale zote zinatumia alpahabet siyo tarakimu na zinaanza na A na kuendelea. Baada ya alphabeti ndo hufuata tarakimu ambazo huonesha increment kwa kila scale. Mfano Mtumishi anayeajiriwa mwenye degree ya miaka 3 huanza na TGS D.1. Ataendelea kuongezwa mfano TGS D.2, TGS D.3,.......na akifika TGS D.12 anagota na inabidi ahamie TGS E.
Hope nimekuridhisha kidogo

Mkuu ni kweli kuna baadhi ya agencies za serikali kama Ofisi ya Taifa ya Takwimu wanatumia scale za namba kwa mfano Mtakwimu anapoajiriwa kwa mara ya kwanza huwa anaanza na mshahara ngazi ya 5.0 ila zinaitwa NBS Salary scale 5.0
 
tafadhanili wadau kwa yeyote mwenye hiyo list atuwekee jamvini nasi tupate kuelewa kwa undani zaidi
 
Asante wana JF kwa elimu tunaomba aliye na codes atutumie ama kama kuna anayejua the following code...PMGSS 9. Natanguliza shukrani
 
Jamani hizo government salary ranks nazitafuta sana ,can some1 help.
 
mbona hamtoi figures jamani, hata mimi nahitaji kujua wakuu..tusaidieni mnaojua.
 
Back
Top Bottom