The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,436
- 17,082
Sorry mkuu naomba source ya kazihizo,maana zimenichanganya nimeperuzi tovuti ya TANESCO sijazipata zipo za deadline ya trh 8/6. Kweli ni post mpya na hazifanani sijajua iweje wasiziweke kwenye tovuti yao.Kazi hizo hapo toka tanesco, ombeni.
Mkuu omba kazi acha mashaka yasiyo na msingi, sioni msingi wa mashaka yako.Sorry mkuu naomba source ya kazihizo,maana zimenichanganya nimeperuzi tovuti ya TANESCO sijazipata zipo za deadline ya trh 8/6. Kweli ni post mpya na hazifanani sijajua iweje wasiziweke kwenye tovuti yao.
Asaante!
Mbona kwenye PDF haifungukiMkuu omba kazi acha mashaka yasiyo na msingi, sioni msingi wa mashaka yako.
Kama huziamini basi ziache mkuu. Nimekuweka na anuani za unapotakiwa kuomba, sijasena uombe kwangu, sasa mashaka yako ni nini?
Hata zinazoexpire 13 juni hujaziona?
Oya tuma kwa PDF via 0755969305Kazi hizo hapo toka tanesco, ombeni.
Kama hutojali na kama unazo hizo zinazo expire tarehe 13 naomba pls.Mkuu omba kazi acha mashaka yasiyo na msingi, sioni msingi wa mashaka yako.
Kama huziamini basi ziache mkuu. Nimekuweka na anuani za unapotakiwa kuomba, sijasena uombe kwangu, sasa mashaka yako ni nini?
Hata zinazoexpire 13 juni hujaziona?
Kaka hiyo ni word document haiwezi kufunguka kama pdf, lazima uibadilishe kwenda pdf kwanza.Mbona kwenye PDF haifunguki
Kama unatumia simu nenda play store pakua App inaitwa WPS inafungua hizo docMbona kwenye PDF haifunguki
Shukrani mkuu,msaada wa hizo zinazoexpire 13 maana daa information is power baadhi taarifa hatuzipati kwa wakati haziwekwi haadharani mapema!Mkuu omba kazi acha mashaka yasiyo na msingi, sioni msingi wa mashaka yako.
Kama huziamini basi ziache mkuu. Nimekuweka na anuani za unapotakiwa kuomba, sijasena uombe kwangu, sasa mashaka yako ni nini?
Hata zinazoexpire 13 juni hujaziona?
Mkuu omba kazi acha mashaka yasiyo na msingi, sioni msingi wa mashaka yako.
Kama huziamini basi ziache mkuu. Nimekuweka na anuani za unapotakiwa kuomba, sijasena uombe kwangu, sasa mashaka yako ni nini?
Hata zinazoexpire 13 juni hujaziona?
Msiwe mnakariri ndugu zangu, hapo ndipo mnapotea, sio mara zote Tanesco wanaweka kwenye tovuti yao, Mfano Matangazo yaliyopita yalikuja kuwekwa kwenye tovuti wiki moja baada ya kutoka kwenye Mwananchi. Mfano Kuna watu wamezoe hata kuitwa kwenye interview lazima waweke majina kwenye tovuti, kuna organization hawaweki, wanatuma message na kupiga simu tuu, sasa ukiwa unasubiri uone jina lako ndio utapotea, hivyo ni vyema kuwa flexible. Ama unaweza ukajiridhisha kupitia mitandao mingine ya ajira, mfano hili tangazo nimelipata humu kwanza hata kabla ya Kwenye tovuti, then baadae zoom nao wakaliweka ila hapa ndo lilikuwa la kwanza kuwekwa.Mashaka yake yana msingi ..kama hajaona tangazo kwenye tovuti yao vipi akuamini wewe? Kwenye ulimwengu huu wa mitandao ya kijamii huwezi kuamini kila kitu unachosoma..otherwise uthibitishe hapa kama wewe ni mtendaji mkuu wa TANESCO
Msiwe mnakariri ndugu zangu, hapo ndipo mnapotea, sio mara zote Tanesco wanaweka kwenye tovuti yao, Mfano Matangazo yaliyopita yalikuja kuwekwa kwenye tovuti wiki moja baada ya kutoka kwenye Mwananchi.
Tumeshaaply usisite kutupatia updates za shortlisted maana kwa mfumo huu unawezaitwa usipate taarifa!Msiwe mnakariri ndugu zangu, hapo ndipo mnapotea, sio mara zote Tanesco wanaweka kwenye tovuti yao, Mfano Matangazo yaliyopita yalikuja kuwekwa kwenye tovuti wiki moja baada ya kutoka kwenye Mwananchi. Mfano Kuna watu wamezoe hata kuitwa kwenye interview lazima waweke majina kwenye tovuti, kuna organization hawaweki, wanatuma message na kupiga simu tuu, sasa ukiwa unasubiri uone jina lako ndio utapotea, hivyo ni vyema kuwa flexible. Ama unaweza ukajiridhisha kupitia mitandao mingine ya ajira, mfano hili tangazo nimelipata humu kwanza hata kabla ya Kwenye tovuti, then baadae zoom nao wakaliweka ila hapa ndo lilikuwa la kwanza kuwekwa.