Kazi marriot toronto hotel

Tutorial 1X

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
1,908
2,036
Habari za majukumu, na mwaka mpya wakuu, kama kichwa kinavyojieleza, nimepata email si chini ya 8 kwa vipindi tofauti zikinitaka nitume CV zangu nikafanye kazi kwenye hiyo hotel tajwa.

Email yao ya mwisho nikaamua niwajibu nikawatumia CV, Leo wamesema niwatumie passport ili wafanye mpango wa visa na mambo mengine.

Swali kama kuna mdau ameshawahi kupata text kama hii au hawa ni matapeli au vipi nahitaji msaasa wetu.

text hii

1483632327965.png
 
Ingia google search hiyo hotel, then angalia mawasiliano yao kama yanalandana na hiyo email adress yao, utapata pa kuanzia!
Na je ulishawahi kuwaomba kazi?
 
Ingia google search hiyo hotel, then angalia mawasiliano yao kama yanalandana na hiyo email adress yao, utapata pa kuanzia!
Na je ulishawahi kuwaomba kazi?
hapana sijawahi waomba kazi na hats sijui wametoa wapi e email yangu?
 
matapeli hao,kwa umarufu gani ulionao mpaka uombwe kua kijakazi,au kwa utendaji upi?? Anyway goodluck ila ukitapeliwa leta uzi mwingine
 
Habar za majukum, na mwaka mpya wakuu, kama kichwa kinavyojieleza,, nimepata e mail si chini ya 8 kwa vipindi tofauti zikinitala ntume CV zangu nikafanye kazi kwenye hiyo hotel tajwa e mail yao ya mwisho nkaamua niwajibu nikawatumia CV, Leo wamesema niwa tumie paspott ili wafanye mpango wa visa na mambo mengine

√√ swali kama kuna mdau ameshawahi kupata text kama hii au hawa ni matapeli au vipi nahitaji msaasa wetu

text hii

View attachment 454712
Kimbia kiongozi sio watu wazuri hao ,wanachukua Email Facebook, mfano una date mdada yoyote nje ya nchi au hata Facebook kisha anakuambia naomba tuwasialiane kwa Email, ukituma tu hapo ndio kazi inaanza siku usiyo izania anakuja kukutapeli, akili ku mkichwa kiongozi.
 
Hapo naweza kukueleza mwanzo na mwisho wake.. Watakutumia mkataba. Mzuri sana na link za embassy.. E mail ya embassy ukiandika unajibiwa hapo hapo. Visa wanatengeneza wenyewe... Ila utatakiwa utume dola mia mbili ya visa .. Ujue ushapigwa hapo..
Hakuna anayekuonea wivu ..ina maana huko hakuna wafanyakazi hadi utafutwe wewe kwenye e mail???
Labda sio dunia hii
 
Mm nilishapataga email km hiyo kutoka uingereza, kampuni ya coca cola, nikaenda nao km week mbili ili niangalie wanaangukia wapi mwisho wa siku wakataka200, 000 dollars ili wanitumie 800,000,000,000, yaan cjui inasomwaje#utapel tyuuuuu
 
hapana sijawahi waomba kazi na hats sijui wametoa wapi e email yangu?
Pia kwa kukutaadharisha sidhani kama hoteli kubwa hivyo inayoweza recruit watu all over the world kama wanavyo jitangaza hapo wanashindwa kutumia email yenye domain ya website yao na matokeo yake wanatumia hotmail.com

Kuwa makini sana mkuu, matepeli wa mitandao ni wengi.
 
Umewaza kama me kabla sijaona post yako huwezi tu kupewa nauli na mambo murua kama hayo bure bure angalia goti hilo..

Hahahaha asante kwa msamiati mpya goti lisije chubuka na mikono kuota sugubya kusukuma ukuta
 
Habar za majukum, na mwaka mpya wakuu, kama kichwa kinavyojieleza,, nimepata e mail si chini ya 8 kwa vipindi tofauti zikinitala ntume CV zangu nikafanye kazi kwenye hiyo hotel tajwa e mail yao ya mwisho nkaamua niwajibu nikawatumia CV, Leo wamesema niwa tumie paspott ili wafanye mpango wa visa na mambo mengine

√√ swali kama kuna mdau ameshawahi kupata text kama hii au hawa ni matapeli au vipi nahitaji msaasa wetu

text hii

View attachment 454712
hotmail.com, unaibiwa mwisho wa yote watakuambia tuma pesa South Africa, Nigeria au Ghana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom