Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
kaka Eliah njoo umsaidie mwenzio huku, moto unamuwakia, lol!Wewe si jana ulikuwa ukituponda wana chit-chat ni jobless?
Vipi,mbona upo hapa,umefukuzwa kibarua nini?
kaka Eliah njoo umsaidie mwenzio huku, moto unamuwakia, lol!Wewe si jana ulikuwa ukituponda wana chit-chat ni jobless?
Vipi,mbona upo hapa,umefukuzwa kibarua nini?
Hahahahaaa...! madam B .... salute! akaoge maji ya chumvi
kaka Eliah njoo umsaidie mwenzio huku, moto unamuwakia, lol!
FP kasema tumsamehe atakuwa ameshika adabu yake huyu,tuendelee na hamsa zetu!au we unasemaje shosti wangu?!
Ha ha haa haaaaaaaaaaaaa! Sijui nilikuwa wapi sijawasoma nyie wadada. Lol!
Jamani nani tena huyo kawakorofisha? Hata sijausoma huu uzi nimekuja moja kwa moja hapa kwenye wito. Eti snowhite, cacico na Madame B nielewesheni. Btw kina Gea wapo sana wanasubiri kupigiwa simu tu hao wanazuka na vifaa vyao vyote vya kazi.
Yaani shoga an'gu Arabela nakishangaa kimtu kimoja humu ndani.
Jana kajidai kuleta nyodo,leo vigimbi juu juu kuja kusapoti thread ya mwana Chitchat mwenzetu.
Babu wee ChitChat ni Kama Maji Usipoyanywa,Utayaoga, kiko wapi sasa,Karudia matapishi yake.
Heheheeeee!!!
Halooooo!!!
Ukiujua Huu, Wenzako tunaujue Ule,
Mbona umekuja,kakuita nani???
Nashanga, una simu,lakini Hupigiwi wala Hutumiwi Sms,
Kaogeeee....!!!!
Sura nzito kama unapiga chafya.
Tuachie babu we na ChitChat yetu.
Eti ohooo Madame B huujui mji,kasema nani?
Kwa taarifa yako,Nimezaliwa Muhimbili,na kitovu changu kimezikwa TuaTugawe.
Utajijua wewe uliyezaliwa Porini na kitovu kimeliwa na changarawe.
Halooooo!!!
Tupishe Sie,wapi mchele wa Kitumbo na matumbo ya Samaki.
HUTAKI,UNAACHA!!
tena mi hapa hasira imezidi kupanda manake naona kama anatuchezeya huyu!sasa mwaJ nawe si unajua idara yako kwenye wizara hii ya misuto na misutano ni ile idara ya habari na mawasiliano?eti boss Madame B mbona kama mwaJ hawajibiki kazini?
Aisee !