kazi kweli kweli

mwela

Member
Apr 26, 2011
47
7
Universal tanzanian jokes
SIJUI KAMA SIKU HIZI IPO HII!
1. Kupakwa GV kwenye kidonda
2. Kung'olewa jino kwa uzi
3. Ubwabwa kupikwa j2 tu
4. Kidonda kuwekwa unga wa
'rangi mbili'
5. Kupamba kadi sebuleni
6. Ukumbi wa sherehe kupambwa
kwa toilet paper
7. Kunyolewa na mkasi
8. Kufunga pesa kwenye leso au
pindo la kanga
9. Kwenda kuangalia sinema za
Ukimwi na Lishe sokoni
10. Ku rewind kanda kwa peni
11. Ndala kuchemshwa ili zisiishe
12. Kucheza umeshikilia kaptula
sababu mpira umekatika
13. Kuchonga penseli na meno
14. Kukata ndala, ati ni kifutio
15. Kunyolewa msalaba shuleni
kisa nywele ndefu
 
Back
Top Bottom