Kazi kweli ipo kumlea mtoto wa kizungu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
10154249_562960500488109_2443788842279791953_n.jpg
 
Ooyooo hii inaonisha mama kadai talaka na mtoto huyu ni kumbwagea baba hapo sasa ni kazi kubwa na kesi zao ni mahakamani na kudai fidia mwana dada
 
Hizo ni complication tu. Mtoto wa kizungu anaweza akalelewa maisha ya kiswahilini ya kuvishwa nepi, chupi za mkojo, kulishwa viporo, n.k na akakua vizuri tu
Ila ni sawa..In every action there is an equal and opposite reaction..Newton's 3rd law of motion
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom