Nimekuwa nafuatilia kampeni za ubunge arumeru kwa muda sasa, nilichogundua kutoka kwa wagombea wote wawili ni ahadi ambazo kimsingi itamlazimu mbunge husika atoe hela ya kwake kwa ajili ya kutumiza ahadi husika, ninachojua ni kwamba kazi kuu ya bunge ni kutunga sheria za nchi na si vinginevyo.