Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 359
Kuna mtu mmoja humu kwenye hili jukwaa tokea hii awamu ianze kazi yake ni kuvimbisha mdomo tu, mpaka mishipa inamtoka kwa kuwaponda viongozi wetu na kuwachambua, utafikiri yeye ndie aliye wanunulia fomu za kugombea.
Eti huyu sio kiongozi bora, kumbe unalijua hilo kilichofanya usinunue fomu ya kugombea ni kipi, kama unajua uongozi si nawewe ugombee bas. Mtu hata udiwani anaogopa kugombea lakini kwenye kuponda, anajua utafikiri mshabiki wa MAN U. Hajui kucheza mpira ila anavo kosoa na kutukana wachezaji utafikiri mpira anauweza. Baba kama unaona viongozi huwapendi fomu zinauzwa, ni pesa yako, na nguvu sio kubwabwaja kila siku without action.
Utabaki kuongea wenzako wanakula mafweza, umebaki tu hafai hafai, SIASA NI MCHEZO MCHAFU, utachonga sana, ndio muda unaenda hivo.
Eti huyu sio kiongozi bora, kumbe unalijua hilo kilichofanya usinunue fomu ya kugombea ni kipi, kama unajua uongozi si nawewe ugombee bas. Mtu hata udiwani anaogopa kugombea lakini kwenye kuponda, anajua utafikiri mshabiki wa MAN U. Hajui kucheza mpira ila anavo kosoa na kutukana wachezaji utafikiri mpira anauweza. Baba kama unaona viongozi huwapendi fomu zinauzwa, ni pesa yako, na nguvu sio kubwabwaja kila siku without action.
Utabaki kuongea wenzako wanakula mafweza, umebaki tu hafai hafai, SIASA NI MCHEZO MCHAFU, utachonga sana, ndio muda unaenda hivo.