Mimi ni kijana mwenye mafunzo ya udereva, mwenye leseni class A, B, D ninaomba msaada wa kazi ya udereva/mauzo/kuri/store/
Elimu: kidato cha sita
Lugha: fluent english & kiswahili
Makazi: kijitonyama Dar es salaam
Computer:nipo vuzuri Ms exel & word
Napatikana mda wowote ukinihitaji
Pia naweza kufanya kazi yoyote kama utahitaji kwani ni mtu ninayependa kujifunza mambo mapya na nipo tayari kupata changamoto mpya.
Elimu: kidato cha sita
Lugha: fluent english & kiswahili
Makazi: kijitonyama Dar es salaam
Computer:nipo vuzuri Ms exel & word
Napatikana mda wowote ukinihitaji
Pia naweza kufanya kazi yoyote kama utahitaji kwani ni mtu ninayependa kujifunza mambo mapya na nipo tayari kupata changamoto mpya.