Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,517
- 2,945
Habar za muda huu waungwana!
Leo sijaja na maneno mengi,machache tu yenye faida.
kuna kampuni ya usafi wa hotelini na maofisini inaitwa five BM inatoa ajira kwa kijana yeyote mwenye elimu kuanzia darasa la saba na kuendelea.
muhimu ujue kufanya usafi,bidii ya kazi,nidhamu na kujituma.
kuwapata wahusika piga namba
0719384693
au fika manyanya nyuma ya msikiti wa mvumoni au tembelea fb page five BM..
shukrani
Leo sijaja na maneno mengi,machache tu yenye faida.
kuna kampuni ya usafi wa hotelini na maofisini inaitwa five BM inatoa ajira kwa kijana yeyote mwenye elimu kuanzia darasa la saba na kuendelea.
muhimu ujue kufanya usafi,bidii ya kazi,nidhamu na kujituma.
kuwapata wahusika piga namba
0719384693
au fika manyanya nyuma ya msikiti wa mvumoni au tembelea fb page five BM..
shukrani