Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatafuta college graduates kwa kazi ya restaurant ya kimarekani.
Tuma cv to :charles@liberty-eagle.com
hao wamekula hasara kama wewe ndo mwakilishi wao !! Hoteli ya kimarekani ndo nini bana, na hata mama lishe wanaweza weka tangazo zuri la kazi. Na tangu lini subway ikawa hoteli ??? Mulugo huyu alaaniwe kabisa !!
east72 nakuona kama ni mkenya mbangaizaji wamekuteua uwafanyie recruitment,bahati mbaya nawe kichwani ni mweupe bora sisi watanzania. Kwanza subway dunia nzima sio hotel bali ni food chain store. By the way,yule mkurugenzi mhindi ndio bado anaendesha kwa hapa tz au kachukua mwingine?
Vipi Panju amefikia rank gani ya u Freemason?
Tatizo la Subway wafanyakazi wao hawawapi lunch wanawaacha wakale kwa mama ntilie Panju arekebishe hilo tatizo... inasikitisha kuwaona wafanyakazi wa food chain nzuri wanakula cheap food ambazo si safe kwa afya.... Nadhani pnju analipa mshahara mdogo sana... atabadilisha wafanyakazi wengi sana akijiona anapata faida huku dhambi zake zikiongezeka
Vipi Panju amefikia rank gani ya u Freemason?
Tatizo la Subway wafanyakazi wao hawawapi lunch wanawaacha wakale kwa mama ntilie Panju arekebishe hilo tatizo... inasikitisha kuwaona wafanyakazi wa food chain nzuri wanakula cheap food ambazo si safe kwa afya.... Nadhani pnju analipa mshahara mdogo sana... atabadilisha wafanyakazi wengi sana akijiona anapata faida huku dhambi zake zikiongezeka