Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Kwa nini watanzania wengi wameshindwa kuamini maamuzi ya serikali (kupitia Ikulu) juu ya suala la Jairo, je ofisi ya CAG haiaminiki tena?
Kwa nini watanzania wengi wameshindwa kuamini maamuzi ya serikali (kupitia Ikulu) juu ya suala la Jairo, je ofisi ya CAG haiaminiki tena?
Kwa nini watanzania wengi wameshindwa kuamini maamuzi ya serikali (kupitia Ikulu) juu ya suala la Jairo, je ofisi ya CAG haiaminiki tena?
Yaani kumbe mlikuwa mnamwamini CAG huyuhuyu nyie kweli kiboko CAG yupo na anakagua daily lkn pesa zinaendelea kuliwa hana jipya mwizi tu
Kwa mtazamo wangu CAG kafanyakazi aliyotumwa na wakubwa wake.kwenye maelezo ya ripoti yake amegunda pesa ZIMECHANGWA na zimeingia kwenye akaunti husika ila yeye hana mamlaka ya kisheria kumchukulia hatua mtumishi kazi ambayo alimwachia LUHANJO atolee maamuzi. Kwa makusudi CAG hakutoa mapendekezo kwenye ripoti yake akawa ametega tego kwa jamaa nae akategeka bila ya kumtuhumu JAIRO na kufuatia hatua nyingine ya RUSHWA(TAKUKURU).
CAG big kwa kazi nzuri kugundua pesa zilichangwa.
Kwa nini watanzania wengi wameshindwa kuamini maamuzi ya serikali (kupitia Ikulu) juu ya suala la Jairo, je ofisi ya CAG haiaminiki tena?
CAG kateuliwa na nani?na ana report kwa nani?hapo kuna imani tena iwapo huyo bosi wake wananchi hawana imani tena