nygax
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,370
- 865
Inawezekena ktk baadhi ya matukio kuna issues ambazo waziri mkuu anahusika sana ktk kuzitolea ufafanuzi kwa nafasi yake,
Haina maana kwamba presdent anaweza kutoa ufafanuzi kwa mambo yote kwa wakati mmoja, hivyo anahitaji pengine kuandamana na top officials japo si ktk matukio yote.
Suala la usalama nadhani wao wanajua zaidi wanajipangaje kuliko hata sisi ambao hata mgambo hatujapita.
Haina maana kwamba presdent anaweza kutoa ufafanuzi kwa mambo yote kwa wakati mmoja, hivyo anahitaji pengine kuandamana na top officials japo si ktk matukio yote.
Suala la usalama nadhani wao wanajua zaidi wanajipangaje kuliko hata sisi ambao hata mgambo hatujapita.