Kazi hizi hufanya Wanaume wengi kula tunda kimasihara

Wachungaji / ma ustadh / waganga feki - wanawake wengi sana wanasukumwa na Imani na ndio maana idadi yao ni kubwa kanisani, kwa waganga na wanaoenda kwa maustadh kwa tiba, matatizo Yao huwa kwenye uzazi,
Usiwasahau mawakal wa mitandao
 
Wachungaji / ma ustadh / waganga feki - wanawake wengi sana wanasukumwa na Imani na ndio maana idadi yao ni kubwa kanisani, kwa waganga na wanaoenda kwa maustadh kwa tiba, matatizo Yao huwa kwenye uzazi, ndoa, malimbwata, kuombewa miujiza, kuroga, kuondoa nuksi, n.k hapa sasa kuna watu tajwa huwa wanachomekea gia ya kuomba mchezo kwa kisingizio cha masharti, kuingiza dawa na hata kutumia vitisho pale mwanamke akileta ugumu.

Wasanii + wanamichezo - wasanii hususan wa bongo fleva na wale wanaofahamika bongo muvi mara nyingi hata hawatumii nguvu kubwa kwasababu tayari majina yao yanajisemea, tukija kwa wacheza mpira timu za bongo nao hawapo nyuma, sema tu utofauti wao na wasanii ni kwamba wao wanapenda kutembea na mabinti wasio na umaarufu, kwa wasanii wanapenda kutembea na mabinti wenye umaarufu flani ivi.

Studio za picha - yanayoendelea huko studio za picha ni mengi mno kuanzia kwenye kubadili mavazi, kuvaa nguo zenye mitego, picha za uchi na hata mitindo ya upigaji wa picha , kazi hii yahitaji moyo, mabinti wengi huwa ni wale ma model wa Instagram, Facebook, n.k

Walimu wa vyuoni - Hawa ni kama miungu watu huko vyuoni, kuna kundi la kwanza ambalo huwa wanafelisha au kuwekwa ugumu binti wanaemtamani, na hapa Ili binti basi huyo mwalimu anamwambia wafanye ngono....kundi la pili ni wanafunzi ambao wanajua wamefeli kihalali ila ni wenyewe wanaofanya jitihada za kumtega mwalimu Ili awape maksi za kusonga mbele, kwao kutoa mzigo sio ishu kabisa.

Boda boda + wakaanga chipsi - Hawa mara nyingi wanamendea vibinti vidogo na muda mwengi hata WA sekondari, vibinti vidogo hivi akili bado hazijakomaa ila kimaumbile ni wakubwa, wengi wakipewa chipsi au lift, ni huruma pekee ya boda bpda au muuza chips itayonuokoa, vinginevyo hapo hachomoki.

=======

Zaidi soma: Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Daah! Kumbe maisha bado mazuri sana, mpaka sie ma DJs tumesahaurika na mtoa mada.
 
Maphotographer umetuachaje
Kawasahau hadi ma directors wa movies na wale wanao shoot videos

Ma producers hawa wanakula sana zile pisikali underground kwenye muziki, Au nimtajie producer aliemla Zuchu before hata hajaenda wasafi.
 
Hawa viumbe wana ujinga flani hivi wa asili

Unaweza kuona mtu yeyote ambaye ana access ya kukaa nao karibu mara kwa mara ndo anawabutua hatari.Na cha ajabu mpaka rangi kucha unaweza ukadhani anakula type flani ya mademu lakini sio kweli unakuta anakula wote malaya,walimu,mastaa,wake za watu,viongozi yaani kiufupi anakula wanawake wote the same to boda boda.Mtu akiniambia anakosa mwanamke namshangaa kabisa,kiumbe mjinga hivi anakushindaje akili???

No wonder wazee wetu waliwaweka gizani kwa nguvu walijua ukiwatoa gizani kidogo tu jamii nzima itaangamia.

Tunaona huko istagram ujinga wao unavyoongezeka kila leo yaani full upuuzi.Mitandaoni wanaume wanaharibikiwa lakini wanawake wanaangamia kabisa km sio kuchanganyikiwa.

Haya nyie wanawake wachache wenye akili mnisamehe sitaki povu nyie hamuhusiki
 
Wachungaji / ma ustadh / waganga feki - wanawake wengi sana wanasukumwa na Imani na ndio maana idadi yao ni kubwa kanisani, kwa waganga na wanaoenda kwa maustadh kwa tiba, matatizo Yao huwa kwenye uzazi, ndoa, malimbwata, kuombewa miujiza, kuroga, kuondoa nuksi, n.k hapa sasa kuna watu tajwa huwa wanachomekea gia ya kuomba mchezo kwa kisingizio cha masharti, kuingiza dawa na hata kutumia vitisho pale mwanamke akileta ugumu.

Wasanii + wanamichezo - wasanii hususan wa bongo fleva na wale wanaofahamika bongo muvi mara nyingi hata hawatumii nguvu kubwa kwasababu tayari majina yao yanajisemea, tukija kwa wacheza mpira timu za bongo nao hawapo nyuma, sema tu utofauti wao na wasanii ni kwamba wao wanapenda kutembea na mabinti wasio na umaarufu, kwa wasanii wanapenda kutembea na mabinti wenye umaarufu flani ivi.

Studio za picha - yanayoendelea huko studio za picha ni mengi mno kuanzia kwenye kubadili mavazi, kuvaa nguo zenye mitego, picha za uchi na hata mitindo ya upigaji wa picha , kazi hii yahitaji moyo, mabinti wengi huwa ni wale ma model wa Instagram, Facebook, n.k

Walimu wa vyuoni - Hawa ni kama miungu watu huko vyuoni, kuna kundi la kwanza ambalo huwa wanafelisha au kuwekwa ugumu binti wanaemtamani, na hapa Ili binti basi huyo mwalimu anamwambia wafanye ngono....kundi la pili ni wanafunzi ambao wanajua wamefeli kihalali ila ni wenyewe wanaofanya jitihada za kumtega mwalimu Ili awape maksi za kusonga mbele, kwao kutoa mzigo sio ishu kabisa.

Boda boda + wakaanga chipsi - Hawa mara nyingi wanamendea vibinti vidogo na muda mwengi hata WA sekondari, vibinti vidogo hivi akili bado hazijakomaa ila kimaumbile ni wakubwa, wengi wakipewa chipsi au lift, ni huruma pekee ya boda bpda au muuza chips itayonuokoa, vinginevyo hapo hachomoki.

=======

Zaidi soma: Ulishawahi kula tunda kimasihara?
UMEGUSA MULEMULE
 
kwani sababu hua ninini kwa hayo makundi kuwala hao viumbe kwa urahisi hivyo?
 
Wahudunu wa kike wa Lodge/guest

Dash!Njemba usiku zinaita tu kiulainiii
Kuna siku nimetoka Dar nikafika Moshi saa nne usiku nikasema nipumzike tu asubuhi nimalizie safari. Nikapiga vyombo pale Redstone kama one hour nikaenda lodge moja hivi jina sikumbuki nikamkuta mhudumu mmoja hivi kimodo cha singida..wakati naandikisha nikawa namtania anipe chumba kizuri kama yeye..akanibebea begi hadi room kufika nikamtania likitanda lote hili silali peke yangu uje tulale wote. Akacheka akasepa,namimi ule uchovu wa long drive nilimtania tu na sikua na mpango na game maana ningetaka ningebeba toka Redstone. Imefika sa 7 kapiga simu ya landline mi nshalala nikahisi naota,kupokea anauliza ushalala? Nikamwambia yaah,akasema si ulisema hulali peke yako...nikamwambia nilikua nakusubiri usingizi ukanipitia nimekaa tu hapa kwenye sofa njoo.

Itaendelea, namimi nimechoka kuandika kama handsome boy wa jf
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom