Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Haya maisha bila k sijui yangekuwaje, baada ya oxygen, maji, chakula then k....
Hakuna kama kYangekua safi tu, tungekua na starehe nyingine.
Ni kwa sababu ipo, ila isingekuwepo tusingejua utamu wake, tungekuwa na vingine tunavyopendaHakuna kama k
Nipo wee ndio naona ulipotea kitambo. Salama lakini?Mkuu upo, za masiku
Salama mkuuNipo wee ndio naona ulipotea kitambo. Salama lakini?
Basi nikushukuru maana ni miaka mingiSalama mkuu
Kwakweli ila tunamshkuru Mola tunahemaBasi nikushukuru maana ni miaka mingi
Alafu zama pm kwanzaKwakweli ila tunamshkuru Mola tunahema
Na sisi wapaka rangi kucha..?
Kha!kha!.Haya maisha bila k sijui yangekuwaje, baada ya oxygen, maji, chakula then k....
Wewe si jike??.Hakuna kama k
Dume la mbeguWewe si jike??.
OkDume la mbegu
Ukisikia boda2 wangu jua maumivuKweli mkuu kawasahau odaoda na bajaji! Hawa wanakula hata visivyolika (wake za watu)!
Kuna bodaboda alikuwa akiishi mtaani kwangu, akikuonyesha watumishi aliowahi kupiga huweziamini aisee! Kisa lift ya kuja kumchukua kazini na home!