Kazi hizi hufanya Wanaume wengi kula tunda kimasihara

Wewe hauwanjui
1. Waganga wakienyeji
Hawa wanakula wake WA vigogo.Ukisikia mkeo kaenda kwa mhanga ana tatizo la uzazo sijui ndoa kaliwa hiyo teali
Na wengi humu wake zenu wanakwenda bila nyie kujua

2. Wauza urembo
Hawa nao kiboko yao

3. Kazi mnayofanya Mimi mayo mhhh
 
Wachungaji feki - wanawake ni watu ambao unaweza kuwateka kirahisi mno kwa Imani, wengi hujikuta wakitumika pale Imani inapofanywa mtego, kwa udhaifu huu wachungaji waguni wanabadili watakavyo wanawake wanaowataka.
Pia:
●Fundi cherehani
●Dereva wa uber, bodaboda
●Wasugua kucha, miguu
 
Wenye viti wa vikoba umesahau ......hawa hawali wasichana tu Hadi wamama na wabibi
 
Anapoosha miguu anahakikisha anakutekenya unyayo
Naosha miguu bure

Wanaume niliwah waambia, Kuna mambo hayagharam ila ni muhimu tu ..

Mwambie mkeo au wewe mwenyewe nunua vifaa watumiavyo kusugulia miguu , mara moja moja au mbili kwa wiki mfanyie mkeo

Unaachaje mkeo asuguliwe miguu na kushikwa miguu nasehem ambazo ni wewe tu ndo wapaswa kuzishika??.
 
Back
Top Bottom