Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Kivipi??.
Kivipi??.
Sie waganga wa kienyeji tumewala sana wadada wanaotafuta watoto, siku hizi kidogo mambo yamekua magumu nahisi wanakimbilia kwa Docta Year
Unafanya shughuli gani??.Dah acha tuu mi sisemi maana nawala kama miguu ya kuku
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
UmeTusahau sisi wakaanga chipsiWachungaji feki - wanawake ni watu ambao unaweza kuwateka kirahisi mno kwa Imani, wengi hujikuta wakitumika pale Imani inapofanywa mtego, kwa udhaifu huu wachungaji waguni wanabadili watakavyo wanawake wanaowataka.
Tupe experience yako bodaboda mnakula vipi kimasiharaUmetusahahu bodaboda
Mm ni mwal wa chuo, vischana visumbufu sana. Ukijenga nao mazoea unawala wote. Yaan acha tu. Vikishapata namba ya simu lazima vinaanza kupitia status zako kila siku, na baadae vitaanza kureply status na vi emonj emonj. Ukishaona hivo tu jua kinatakaWachungaji feki - wanawake ni watu ambao unaweza kuwateka kirahisi mno kwa Imani, wengi hujikuta wakitumika pale Imani inapofanywa mtego, kwa udhaifu huu wachungaji waguni wanabadili watakavyo wanawake wanaowataka.
Hawa matukio mengi hawagaramii ata chumba apoapo nyumbani kwa mpakwa rangiwapaka rangi za kucha wanafaidi sana, wanagonga kuanzia wale wa masaki mpaka wa vingunguti
Mala nyingi tukiwabeba ile zero mgusano, nachombeza unajoto wewe, jamaa anafaidi kuna kuwa response unachomekea chomekea maneno ya kiushandani na kujishusha, then nina test hata kwa kusema ningekuwa mie ninge xxx wengi huanzia hapo kuingilikaTupe experience yako bodaboda mnakula vipi kimasihara
Umetusahahu bodaboda
7.Manesi wa kiume 🤪1.Bodaboda
2.Wakodisha Movie
3.Wakaanga chips
4.Wapaka rangi
5.Wachungaji &Waganga
6.malecture
Sie wauza ureeembooooWachungaji feki - wanawake ni watu ambao unaweza kuwateka kirahisi mno kwa Imani, wengi hujikuta wakitumika pale Imani inapofanywa mtego, kwa udhaifu huu wachungaji waguni wanabadili watakavyo wanawake wanaowataka.
Naye anawala kimasihara wengi.Sie waganga wa kienyeji tumewala sana wadada wanaotafuta watoto, siku hizi kidogo mambo yamekua magumu nahisi wanakimbilia kwa Docta Year
Boda boda anapompeleka mwanamke mke wa mtu kwenye mchepuko wake lazima ampe na yeye ili Siri isijulikane.bila bodaboda hii list haijalamilika
Na sisi wapaka rangi kucha za mademu hamjatuzingatia kabisa, wake zenu wanatusumbua sana.Umetusahahu bodaboda