luga de7
Member
- Jan 30, 2019
- 24
- 8
Ndugu kw bongo yetu hii mmh lbda uje hapa shule ya ufukon kw pemben kuna vijumba hali marufu km.......( ) hata km huna elimu unatoboa life kuna mjanja kanielewa hapo.Hello JF,
Kichwa kinajieleza….
Tirilikeni,
Ningependa kujua maeneo gani mtu wa darasa la saba anaweza kuajiriwa ama kujiajiri?
Asanteni.
Becky.
Hello JF,
Kichwa kinajieleza….
Tirilikeni,
Ningependa kujua maeneo gani mtu wa darasa la saba anaweza kuajiriwa ama kujiajiri?
Asanteni.
Becky.
Zipo za kufundishwa kwa muda mchache kama kupaka rangi,kushona,kuuza duka,stationary, kunyoa,kutengeneza sabuni,batiki,kupamba,kupika chips,udereva wa magari madogo,
Za kufanya moja kwa moja kama kuuza duka,kubeba na kupakia mizigo viwandani vya kuku,vinywaji,nafaka
Ukitoa Serkali. Hao std 7 ndio wanaoongoza kuajiri hapa Tz.
Vibarua havimtoi mtu kimaisha zaidi ya kuishia kupata chakula pekee..mwambie bila kupepesa kua shamba ni bora kuliko vibarua vya viwandaniMengi tu, kuanzia kilimo hadi vibarua viwandani na kwenye miradi mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi RebecaNimemaanisha Tanzania mkuu
Ndugu kw bongo yetu hii mmh lbda uje hapa shule ya ufukon kw pemben kuna vijumba hali marufu km.......( ) hata km huna elimu unatoboa life kuna mjanja kanielewa hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app