Kazi civil engineering

AMAN32

Senior Member
Feb 6, 2013
110
55
Wakuu habari zenu,Leo nilikutana na rafiki yangu mmoja tumesoma nae secondary sasa katika mazungumzo yake akaniambia eti kuna mdogo wake amemaliza civil engineering degree,mwaka wa pili huu anatafuta kazi hivi ni kweli mtu aliyemaliza civil engineering anakosa kazi kwa muda wore huu
 
Wakuu habari zenu,Leo nilikutana na rafiki yangu mmoja tumesoma nae secondary sasa katika mazungumzo yake akaniambia eti kuna mdogo wake amemaliza civil engineering degree,mwaka wa pili huu anatafuta kazi hivi ni kweli mtu aliyemaliza civil engineering anakosa kazi kwa muda wore huu
civil engineering kwa miaka ya hvi karibuni imekuwa na shida ya kupata kazi.. hii inatokana karibu wanafunzi 1000 wanagraduate kutoka vyuo vyote tanzania kwa kila mwaka... na kibaya zaidi makampuni mengi ya tanzania hutoa waajiri wake toka nje ya nchi kwa kuzingatia wao wanaona ni bora zaidi kuzidi hapa nyumban... lakin mwambie asife moyo aendelee kutafuta tu
 
Ungekuwa unamtafutia kazi ningemchukua aende mtwara tuna kamradi uchwara ila kujibu swali lako ni kweli ajira zimekuwa ngumu kupatikana anaweza kumaliza hata miaka mitano bila kuajiriwa
 
Acha ujinga

Unauliza au unamtafutia kazi?

Kazi wamekosa madaktari ije kuwa huyo?

Halafu Nazi nenda gengeni tsh 500/=
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom