Kazi au mume......ushauri

Nailyne

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
350
111
Nina best yangu ameolewa mwaka sasa, recently amepata kazi nje ya tz (UN) kwa mkataba wa miaka 2,yupo kwenye maandalizi kuondoka nchini amepewa miezi 2 ya kujiandaaa. Ameongea na mumewe kuhusiana na suala hili mumewe ameridhia.

Best yangu anatamani sana angeondoka na mumewe, na mpango wake ulikuwa wakati yeye yupo huko kikazi mumewe angekuwa anasoma degree ya pili. Mume amegoma amesema yeye hawezi kuacha kazi, na kama ni kusoma yeye atasoma hapa hapa tz. Hii issue inamsumbua sana best yangu na anasema kama vipi anaweza akaachia hiyo opportunity.

Mimi nimemshauri asiache hiyoo nafasi aliyopata, na aendelee kumshawishi mumewe waende wote kwani sioni sababu ya huyo mume kutokwenda na mkewe. Siamini kama kazi ni kisingizio coz ni mwajiriwa serikalini,na mishahara ya serikali inajulikana kwa hiyo sio kusema akiacha hiyo kazi atakuwa amepoteza big opportunity.

Naombeni tips zaidi juu mtazamo wenu kwenye hili labda naweza kupata idea za kumpa best yangu akaweza kumshawishi mumewe akubali waondoke wote, coz naamini itaimarisha ndoa yao.
 
Wengine tukishauri tunaweza kuharibu.........yeye ndiye anayemfahamu mumewe vizuri zaidi anaweza kumwelewesha kwa utuvu na kama atatumia nguvu yake kama mwanamke, (naamini nimeeleweka) anaweza kufanikiwa.
 
nina best yangu ameolewa mwaka sasa, recently amepata kazi nje ya tz (UN) kwa mkataba wa miaka 2,yupo kwenye maandalizi kuondoka nchini amepewa miezi 2 ya kujiandaaa. Ameongea na mumewe kuhusiana na suala hili mumewe ameridhia. Best yangu anatamani sana angeondoka na mumewe, na mpango wake ulikuwa wakati yeye yupo huko kikazi mumewe angekuwa anasoma degree ya pili. Mume amegoma amesema yeye hawezi kuacha kazi, na kama ni kusoma yeye atasoma hapa hapa tz. Hii issue inamsumbua sana best yangu na anasema kama vipi anaweza akaachia hiyo opportunity. Mimi nimemshauri asiache hiyoo nafasi aliyopata, na aendelee kumshawishi mumewe waende wote kwani sioni sababu ya huyo mume kutokwenda na mkewe. Siamini kama kazi ni kisingizio coz ni mwajiriwa serikalini,na mishahara ya serikali inajulikana kwa hiyo sio kusema akiacha hiyo kazi atakuwa amepoteza big opportunity. Naombeni tips zaidi juu mtazamo wenu kwenye hili labda naweza kupata idea za kumpa best yangu akaweza kumshawishi mumewe akubali waondoke wote, coz naamini itaimarisha ndoa yao.

kwa utamaduni wetu wa kiafrica, mume kumkubalia itaonekana kama kale kamfumo unaoitwa mfumo jike wa kihindi.
Kwa kuwa tunaendeleza utamaduni wetu wa mfumo dume hilo lijama halitakubali kwenda kusherehekea madola ya UN.
Ushauri: wote wamtangulize Mungu mbele hakuna kitu kitakachoshindikana. wakimtanguliza Mungu mbele na kwa baraka zake mama ataondoka kwa amani ya moyoni, na mume atabaki bongo kwa amani ya moyoni, au wote wakaondoka kwenda UN au wote wakabaki bongo.
 
kwa utamaduni wetu wa kiafrica, mume kumkubalia itaonekana kama kale kamfumo unaoitwa mfumo jike wa kihindi.
Kwa kuwa tunaendeleza utamaduni wetu wa mfumo dume hilo lijama halitakubali kwenda kusherehekea madola ya UN.
Ushauri: wote wamtangulize Mungu mbele hakuna kitu kitakachoshindikana. wakimtanguliza Mungu mbele na kwa baraka zake mama ataondoka kwa amani ya moyoni, na mume atabaki bongo kwa amani ya moyoni, au wote wakaondoka kwenda UN au wote wakabaki bongo.

ni kweli kabisa si kuta kusema hilo tangu mwanzo hata mimi nimeona ni suala la mfumo dume zaidi na je ataonekanaje kwa jamii, lakini mkuu mwisho wa siku huyo anayeenda huko ni mkewe na hayo ni maisha yao nadhani angefikiria effect watakayopata kwa wao kuwa mbalimbali kwa miaka 2 esp katika kipindi cha mwanzo wa ndoa yao.
 
Wengine tukishauri tunaweza kuharibu.........yeye ndiye anayemfahamu mumewe vizuri zaidi anaweza kumwelewesha kwa utuvu na kama atatumia nguvu yake kama mwanamke, (naamini nimeeleweka) anaweza kufanikiwa.

haujaharibu mkuu ni ushauri wa maana pia asante sana
 
marriage vs career,siku zote ni mtihani mkubwa sana,achilia mbali mmoja kupata kazi majuu lakini hata mkiwa hapa bongo.Chukulia mfano kina mama ambao taaluma zao zinawalazimu kurudi nyumbani late kama bankers na manesi,akifika nyumbani amechoka,foleni (labda wanaishi Boko/mbagala),yaani hata nguvu ya kupika hana achilia mbali huduma ya kitandani.Mimi naona it is a matter of choice maana huwezi kula keki na wakati huo huo ukawa nayo mkononi,watulie watafakari na mwisho wa take chance,maisha wakati mwingine ni gamble.
 
nina best yangu ameolewa mwaka sasa, recently amepata kazi nje ya tz (UN) kwa mkataba wa miaka 2,yupo kwenye maandalizi kuondoka nchini amepewa miezi 2 ya kujiandaaa. Ameongea na mumewe kuhusiana na suala hili mumewe ameridhia. Best yangu anatamani sana angeondoka na mumewe, na mpango wake ulikuwa wakati yeye yupo huko kikazi mumewe angekuwa anasoma degree ya pili. Mume amegoma amesema yeye hawezi kuacha kazi, na kama ni kusoma yeye atasoma hapa hapa tz. Hii issue inamsumbua sana best yangu na anasema kama vipi anaweza akaachia hiyo opportunity. Mimi nimemshauri asiache hiyoo nafasi aliyopata, na aendelee kumshawishi mumewe waende wote kwani sioni sababu ya huyo mume kutokwenda na mkewe. Siamini kama kazi ni kisingizio coz ni mwajiriwa serikalini,na mishahara ya serikali inajulikana kwa hiyo sio kusema akiacha hiyo kazi atakuwa amepoteza big opportunity. Naombeni tips zaidi juu mtazamo wenu kwenye hili labda naweza kupata idea za kumpa best yangu akaweza kumshawishi mumewe akubali waondoke wote, coz naamini itaimarisha ndoa yao.

naona hakuna ishu hapo koz hus amebariki safari!
kwenye red kuwa serikalini sio kigezo cha kuvuruga mipango na harakati za m2 kimaisha, huwezi jua ana michongo gani inayomuingizia mawe hapo town zaidi ya hiyo salary! jamaa atakuwa ameweka vitu kwenye mizani kaona atapoteza fursa kibao akiwa nje ya nchi kwa hiyo miaka 2!!mshauri asiache hiyo nafasi, baraka za mwenzake zinatosha kabisa kumpa amani ya moyo
 
Nadhani mke atumie subira zaidi. Yaani aendelee kumsihi mumewe wakati huo akijiandaa na safari. Lakini akikataa kabisa mke aondoke akaanze kazi labda upweke utamfanya mme afikirie upya msimamo wake. Lakini simshauri mke aachie hiyo chance.
 
Kwani huyo mumewe ni macho juu sana kiasi anahofia kumwacha abaki TZ atakuta ameshasepa? manake hadi mwanamke anafikiria aachie post aliyopata ili abaki na Husband.. au labda ni uchanga wa ndoa ... mie hata sielewi!
 
Lakini kazi ya UN ni mkataba wa miaka miwili, so mume akiacha kibarua chake aondoke na mkewe then mkataba ukija kuisha itakuwaje?? Wanarudi kwenye msoto wa kutafuta kazi tena hapa bongo...?
 
Ushauri wangu Huyu Mdada Asiache kwenda huko UN..BUT pia ajaribu kujua kwa nini Mshkaji anagoma kwenda..Sitaki kuamini kama ni Mfumo dume ndo unasababisha Jamaa Achomoe..Wangapi wamewafata wakezao Bwana..Aendelee kumpa nafasi ya Kufikiria zaidi!!
 
Kwani huyo mumewe ni macho juu sana kiasi anahofia kumwacha abaki TZ atakuta ameshasepa? manake hadi mwanamke anafikiria aachie post aliyopata ili abaki na Husband.. au labda ni uchanga wa ndoa ... mie hata sielewi!

sidhani kama anahofu ya kumuacha atakuta ameshasepa coz mtu akiwa macho juu juu hatasubiri usafiri ndio afanya mambo yake, atafanya na wewe ukiwepo, swala sio tu mume kubaki bt pia chances ambazo mume anaweza kupata kwa kukubali kusafiri na mkewe, cha kwanza ni suala la shule ambapo mke yupo tayari kumsapoti mumewe asome masters wakiwa huko kwa hiyo salary yake.
 
Lakini kazi ya UN ni mkataba wa miaka miwili, so mume akiacha kibarua chake aondoke na mkewe then mkataba ukija kuisha itakuwaje?? Wanarudi kwenye msoto wa kutafuta kazi tena hapa bongo...?

kazi zao ni mkataba sawa lakini ukishatia mguu chances za kuongezewa mkataba ni uhakika unless umefanya kazi hapo zaidi ya ten yrs..
 
marriage vs career,siku zote ni mtihani mkubwa sana,achilia mbali mmoja kupata kazi majuu lakini hata mkiwa hapa bongo.Chukulia mfano kina mama ambao taaluma zao zinawalazimu kurudi nyumbani late kama bankers na manesi,akifika nyumbani amechoka,foleni (labda wanaishi Boko/mbagala),yaani hata nguvu ya kupika hana achilia mbali huduma ya kitandani.Mimi naona it is a matter of choice maana huwezi kula keki na wakati huo huo ukawa nayo mkononi,watulie watafakari na mwisho wa take chance,maisha wakati mwingine ni gamble.

umenena, its gamble n sometimes u hv take a risk, nimefurahi sana umeliona hilo la marriage v ajira esp to women inawacost sana,inahitaji hekima sana kwa mume kuelewa hili na mwanamke kuweza kubalance hayo maisha.
 
sidhani kama anahofu ya kumuacha atakuta ameshasepa coz mtu akiwa macho juu juu hatasubiri usafiri ndio afanya mambo yake, atafanya na wewe ukiwepo, swala sio tu mume kubaki bt pia chances ambazo mume anaweza kupata kwa kukubali kusafiri na mkewe, cha kwanza ni suala la shule ambapo mke yupo tayari kumsapoti mumewe asome masters wakiwa huko kwa hiyo salary yake.
Nailyne, hilo bold ndio tatizo, wanaume wetu wa kiafrika hawapendi hiyo kitu,umsomeshe halafu badae uringe? au akikukosea tu uanze kumsimanga, hiyo ni ngumu sana na amini nakwambia ndio hiyo mumewe hataki
 
Nailyne, hilo bold ndio tatizo, wanaume wetu wa kiafrika hawapendi hiyo kitu,umsomeshe halafu badae uringe? au akikukosea tu uanze kumsimanga, hiyo ni ngumu sana na amini nakwambia ndio hiyo mumewe hataki

Gaga thanks, nahisi umenifungua macho sana basi kama ni hivyo ipo kazi,nadhani umenisaidia kufikiria angle nyingine ya ushawishi,hilo la shule nadhani haitawork.
 
Miaka miwili hata si mingi yaani wala asijiumize kichwa..............anaweza weka mechanisms ya kukutana kila baada ya muda flani wala haina shida! Kwanza its good bana to have a break!
 
Mwaambie aende akakae mwenyewe kiasi, akirudi kama wamekutana jana yake mahaba motomoto
 
Back
Top Bottom