Nailyne
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 350
- 111
Nina best yangu ameolewa mwaka sasa, recently amepata kazi nje ya tz (UN) kwa mkataba wa miaka 2,yupo kwenye maandalizi kuondoka nchini amepewa miezi 2 ya kujiandaaa. Ameongea na mumewe kuhusiana na suala hili mumewe ameridhia.
Best yangu anatamani sana angeondoka na mumewe, na mpango wake ulikuwa wakati yeye yupo huko kikazi mumewe angekuwa anasoma degree ya pili. Mume amegoma amesema yeye hawezi kuacha kazi, na kama ni kusoma yeye atasoma hapa hapa tz. Hii issue inamsumbua sana best yangu na anasema kama vipi anaweza akaachia hiyo opportunity.
Mimi nimemshauri asiache hiyoo nafasi aliyopata, na aendelee kumshawishi mumewe waende wote kwani sioni sababu ya huyo mume kutokwenda na mkewe. Siamini kama kazi ni kisingizio coz ni mwajiriwa serikalini,na mishahara ya serikali inajulikana kwa hiyo sio kusema akiacha hiyo kazi atakuwa amepoteza big opportunity.
Naombeni tips zaidi juu mtazamo wenu kwenye hili labda naweza kupata idea za kumpa best yangu akaweza kumshawishi mumewe akubali waondoke wote, coz naamini itaimarisha ndoa yao.
Best yangu anatamani sana angeondoka na mumewe, na mpango wake ulikuwa wakati yeye yupo huko kikazi mumewe angekuwa anasoma degree ya pili. Mume amegoma amesema yeye hawezi kuacha kazi, na kama ni kusoma yeye atasoma hapa hapa tz. Hii issue inamsumbua sana best yangu na anasema kama vipi anaweza akaachia hiyo opportunity.
Mimi nimemshauri asiache hiyoo nafasi aliyopata, na aendelee kumshawishi mumewe waende wote kwani sioni sababu ya huyo mume kutokwenda na mkewe. Siamini kama kazi ni kisingizio coz ni mwajiriwa serikalini,na mishahara ya serikali inajulikana kwa hiyo sio kusema akiacha hiyo kazi atakuwa amepoteza big opportunity.
Naombeni tips zaidi juu mtazamo wenu kwenye hili labda naweza kupata idea za kumpa best yangu akaweza kumshawishi mumewe akubali waondoke wote, coz naamini itaimarisha ndoa yao.