Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Rais Jakaya Kikwete akifafanua jambo wakati wa Mkutano wa tano wa Kimataifa wa Tasnia ya Uzinduaji (EITI) mjini Paris, Ufaransa, uliozungumzia matarajio ya baadaye ya tasnia hiyo na uwazi katika masuala ya fedha. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia, Sri Mulyani Indrawati, Mwenyekiti mtarajiwa wa EITI, Clare Short, na Rais wa Msumbiji, Armando Guebuza. (Picha na John Lukuwi).
Hapa namwona sheikh ARMANDO GUEBUZA kuna kitu anakitafakari, sijui ni kile anachoongea MKURU WA NCHI au ni kwamba lugha hajaielewa vizuri- yaani SWANGLISH!