Na kama nimefanya interview ya written nikaangalia kwenye account yangu nikakuta SELECTED, nikaenda fanya interview ya oral.
Je nayo nikiingia kwenye account yangu nitakuta nini baada ya matokeo?
dah haya mambo mimi hata sijayajua mkuu
 
Habari ya majukumu Kwenu MA bibi na MA bwana.

Matumaini yangu sote tu wa afya njema na tuna endelea vema katika ujenzi wa taifa letu pendawa taifa Tanzania.

Ndugu zangu naomba msaada wa kuelekezwa ni namna gani Nita weza kufanya maombi kupitia huu mfumo.

Mimi ni fundi bomba mwenye cheti cha daraja la pili kada ya ufundi bomba,
Kuna ajira zime tangazwa na serikal, MOROGORO, KAHAMA, NA Se NGEREMA

Nime jaribu kuomba baada ya kukamilisha kufungua account ya ajira portal na kukamilisha profile wa 100% lakini nikiomba mfumo una goma unanitaka ni kamili she professional yangu au education program

Katika orodha ya professional za humo hakuna seem ya plumbing and pipe fitting

Zaidi ya engineering and construction pamoja na water, and mining

Wenye kujua namna ya kufanya naomba msaada ili niweze kuomba ajira dead line ni jumatatu
 
Majibu sahihi ni hivi, ukituma application kwenye ajira aportal, Unatakiwa uwe unatembelea mara kwa mara akaunti yako ya ajira portal, utakuta majibu wamekuwekea kwenye application status. ukikuta umeandikwa shortlisted ujue umepata interview, watakuwa wamekuandikia tarehe ya interview na sehemu gani interview inafanyika. na ukikuta application status rejected maana yake hujapata interview, ukikuta application status pending maana yake application yako bado ipo kwenye mchakato.
Shida ya ajira portal ni kwamba hawakupigii simu kukujulisha kwamba umepata interview na wala hawakutumii email ya interview.
yaani majibu utapata kwenye account ya ajira portal. Na hii ni hasara kwa mwombaji kwasababu sio kila mtu anakuwa anatumia internet kila siku. kuna majukumu ya kila siku ambayo mtu anakuwa yuko bize. Ningeshauri ajira portal iwe inatuma hata msg za sms za kuwajulisha interview kwa waombaji wote kama inaona gharama kupiga simu kwa kila mwombaji. mbona taasisi zingine zinapiga simu moja kwa moja kwa mwombaji kumjulisha kwamba ana interview.
Sms huwa wanatuma sometimes
 
Njia rahisi ninayoitumia kujua kama nimeitwa interview au la baada ya kutuma maombi utumishi, huwa nafanya hivi. Kila baada ya week mbili natembelea website yao ya kiserikali www.ajira.go.tz kwenye site hii huwa wanachapisha majina ya wote wanaoitwa katika mfumo wa PDF.

Jambo muhimu ukumbuke taasisi uliyoomba, maana huwa wanaandika vichwa vya habari mfano "majina ya walioitwa kwenye usahili TBC" n.k

So hii site ndo naitumia sana www.ajira.go.tz
 
Majibu sahihi ni hivi, ukituma application kwenye ajira aportal, Unatakiwa uwe unatembelea mara kwa mara akaunti yako ya ajira portal, utakuta majibu wamekuwekea kwenye application status. ukikuta umeandikwa shortlisted ujue umepata interview, watakuwa wamekuandikia tarehe ya interview na sehemu gani interview inafanyika. na ukikuta application status rejected maana yake hujapata interview, ukikuta application status pending maana yake application yako bado ipo kwenye mchakato.
Shida ya ajira portal ni kwamba hawakupigii simu kukujulisha kwamba umepata interview na wala hawakutumii email ya interview.
yaani majibu utapata kwenye account ya ajira portal. Na hii ni hasara kwa mwombaji kwasababu sio kila mtu anakuwa anatumia internet kila siku. kuna majukumu ya kila siku ambayo mtu anakuwa yuko bize. Ningeshauri ajira portal iwe inatuma hata msg za sms za kuwajulisha interview kwa waombaji wote kama inaona gharama kupiga simu kwa kila mwombaji. mbona taasisi zingine zinapiga simu moja kwa moja kwa mwombaji kumjulisha kwamba ana interview.
Na ile wanaandika application failed inakuwaje?
 
Njia rahisi ninayoitumia kujua kama nimeitwa interview au la baada ya kutuma maombi utumishi, huwa nafanya hivi. Kila baada ya week mbili natembelea website yao ya kiserikali www.ajira.go.tz kwenye site hii huwa wanachapisha majina ya wote wanaoitwa katika mfumo wa PDF.

Jambo muhimu ukumbuke taasisi uliyoomba, maana huwa wanaandika vichwa vya habari mfano "majina ya walioitwa kwenye usahili TBC" n.k

So hii site ndo naitumia sana www.ajira.go.tz
mi nimeona status imebadilika imeonyesha, you are not shortlisted ila majina ya watu kuitwa kwenye interview bado hayajatoka. inawezekana watu waliitwa kimya kimya kwenye interview?
 
Wakati status inasoma 100%
Hii inakuwaje na vigezo vyote umevitimiza?
2100953975.jpg
Screenshot_20201013-140314.jpg
 
Back
Top Bottom