Fungua akaunti mpya.
[/QUOTE
Kuwa na account nyingi haitaleta shida ama hii ya zamani naifungaje?
Ahsante , je haitaleta shida kuwa na account nyingi au hik account ya zamani nawezaje kuifungaFungua akaunti mpya.
DuhWatakukamatia kwenye namba ya NIDA
DuhWatakukamatia kwenye namba ya NIDA
DuhWatakukamatia kwenye namba ya NIDA
Zamani tulikuwa tunabadilisha tu unaingia academic qualifications unafuta degree unaacha diploma sijui kwa Sasa kama inawezekana ila jaribu lakini kufungua account nyingine NIDA ndiyo kikwazo.
Usisumbuke kufungua account mpya maana haitofanya chochote. Serikali ya wanyonge ndo imetengeneza mfumo huo ili kukwepa jukumu lake, Chamsingi ni kuomba nafasi za degree tu hakuna option nyingineAhsante , je haitaleta shida kuwa na account nyingi au hik account ya zamani nawezaje kuifunga
Unajua ni kosa kutoa taarifa ya uongo wakati unaomba kazi. Standing order D.12 inaeleza vizuri kuhusiana na utoaji wa taarifa za uongoZamani tulikuwa tunabadilisha tu unaingia academic qualifications unafuta degree unaacha diploma sijui kwa Sasa kama inawezekana ila jaribu lakini kufungua account nyingine NIDA ndiyo kikwazo.
Duu haina budi nikubali kushindwaUsisumbuke kufungua account mpya maana haitofanya chochote. Serikali ya wanyonge ndo imetengeneza mfumo huo ili kukwepa jukumu lake, Chamsingi ni kuomba nafasi za degree tu hakuna option nyingine
Mmhhh hata nikiwapigia naona nitapigwa siasa tuuHapo huwez kufanya chochote, lbl uwapigie halafu ueleze shida yako
kwanini uneuliza hilo swali. interview nahisi ni lazimaHivi huko ajira portal watu wanapata kaz bila interview kweli?