Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
Wananchi wa Kawe wapo barabarani wakiimba "TUNAKA MABADILIKO" kwa Mujibu wa mmoja wa waliohojiwa anasema masanduku yalikua kwenye ofisi ya Mtendaji na wanataka wamwage Kura zote kutoka masanduku yote na wahesebu upya...
Jamaa akasema hawayaamini tena koz kuna form walizosign tume na Mawakala hizo ndo zitumike koz kwa yale masanduku wanadhani kutakua na yale ambayo yamechakachuliwa............
Jamaa wamekataa..................
Jamaa akasema hawayaamini tena koz kuna form walizosign tume na Mawakala hizo ndo zitumike koz kwa yale masanduku wanadhani kutakua na yale ambayo yamechakachuliwa............
Jamaa wamekataa..................