Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,379
Yetu macho .
Kwanza umeandika hovyo makosa ya kimaandishi ni mengi mno, pili ule upande unaohisiwa na wengi wewe hujaugusa kabisa nahisi huo upande ndio unahusika maana wewe hukutaka kuugusia kabisaDuh kazi ipo...
Si wana bima haya wakadai chao sasa naada ya kupata ripoti. Hivi nani alikuwa wa kwanza kufika hapo kwenye tukio.. maana naona kama Karume alifika na nani alimtaarifu. Kama hao walinzi wamekutwa hivyo nani aliwafikisha hapo... na wao lazima sio waliotoa ripoti kuwa kuna moto.. au niseme kama kuna watu waliona liliungua na ni wapita njia je walipataje namba za hao wahusika!! Na kama wana watu majirani na jengo hilo ndio walifanya hili au lile + waliokuwa wanapita basi watakuwa na uwezo wa kuelezea waliona nini baada ya mlipuko huo... kesi hii inabidi uchunguzi wa juu sana kwa sana bila kuacja kugeuza jiwe lolote. Na wajengoni inabidi piabwaangalir kesi zao ni nani wamemmaliza haswa huko mahakamani.. ambaye anaweza kitenda lililotengwa.. je wanakesi yoyote imemfilisisha mtu.. je kunani kunani.
Moja tu hawa waliotenda hili wamevizia muda wa yake marumbano na Lissu.. je kwa kuwa Karume hajajiunga nao tena kuna wenye hasira!!! Je wamemghurumu mtu kitu... kwa sasa hao walinzi ni wakulindwa na kuhojiwa haswa pia mienendo ya pale etc
Kuna kitu kimoja pia najua kesi hizi ni lazima wachunguze mambo ya kifedha kuona kuwa hawajataka kujilipua kwa ajili ya kulipwa pesa ndefu ya bima.
Naandika kama vile mie inspekta kwa kujaribu na yangu. Nawatakia kila la kheri mawakili wetu wa Tanzania na poleni.
Kwanza umeandika hovyo makosa ya kimaandishi ni mengi mno, pili ule upande unaohisiwa na wengi wewe hujaugusa kabisa nahisi huo upande ndio unahusika maana wewe hukutaka kuugusia kabisa
Always anaandika rubbish.Kwanza umeandika hovyo makosa ya kimaandishi ni mengi mno, pili ule upande unaohisiwa na wengi wewe hujaugusa kabisa nahisi huo upande ndio unahusika maana wewe hukutaka kuugusia kabisa
Inakuwaje blah blah blah wakati umeweza kuandika jibu la mojawapo!!! Basi nao wataulizwa na hizo namba zake walipewa lini ili iweje.. au kama wanajuana haya tangu lini kupeana namba... juu ya hayo nao inabidi kuhojiwa.
Published on 26 Aug 2017
Moja ya habari iliyoripotiwa mapema leo August 26, 2017 kuungua kwa Ofisi za IMMMA Advocates za Wanasheria Fatma Karume na Lawrence Marsha. Mlinzi wa jengo la jirani na ofisi hizo kasimulia kilichotokea.
Mlinzi kasimulia kilichotokea usiku kabla jengo la Mawakili kulipuliwa
Source: Millard Ayo
Duh kazi ipo...
Si wana bima haya wakadai chao sasa naada ya kupata ripoti. Hivi nani alikuwa wa kwanza kufika hapo kwenye tukio.. maana naona kama Karume alifika na nani alimtaarifu. Kama hao walinzi wamekutwa hivyo nani aliwafikisha hapo... na wao lazima sio waliotoa ripoti kuwa kuna moto.. au niseme kama kuna watu waliona liliungua na ni wapita njia je walipataje namba za hao wahusika!! Na kama wana watu majirani na jengo hilo ndio walifanya hili au lile + waliokuwa wanapita basi watakuwa na uwezo wa kuelezea waliona nini baada ya mlipuko huo... kesi hii inabidi uchunguzi wa juu sana kwa sana bila kuacja kugeuza jiwe lolote. Na wajengoni inabidi piabwaangalir kesi zao ni nani wamemmaliza haswa huko mahakamani.. ambaye anaweza kitenda lililotengwa.. je wanakesi yoyote imemfilisisha mtu.. je kunani kunani.
Moja tu hawa waliotenda hili wamevizia muda wa yake marumbano na Lissu.. je kwa kuwa Karume hajajiunga nao tena kuna wenye hasira!!! Je wamemghurumu mtu kitu... kwa sasa hao walinzi ni wakulindwa na kuhojiwa haswa pia mienendo ya pale etc
Kuna kitu kimoja pia najua kesi hizi ni lazima wachunguze mambo ya kifedha kuona kuwa hawajataka kujilipua kwa ajili ya kulipwa pesa ndefu ya bima.
Naandika kama vile mie inspekta kwa kujaribu na yangu. Nawatakia kila la kheri mawakili wetu wa Tanzania na poleni.
Le blah blah again!
Kwani mtu kuwa na namba ya jirani yake ni jinai? Wewe unaishije na majirani zako?
Unaniuliza kituko.. ungekuwa unafahamu jengo lilipo na walio wazunguka kama ni majengo ya maofisi au makazi au vyote.. husingepoteza muda wako.. niletee hayo ya palivyo ndio uje uniulize tena.. kwanini pia yeye akimbilie kutoa taarifa mitandaoni... kwani wanatusaidia nini sisi wananchi!!! Kwanini yeye namba moja!?
Wenzake baadae.. sibadili niliyoandika earlier.
Niache zangu niko nasikilizia.
Huyu mlinzi hayapendi maisha yake
Mbona kwa tukio hili tangu asubuhi unajistukia sana una wasiwasi gani?Duh kazi ipo...
Si wana bima haya wakadai chao sasa naada ya kupata ripoti. Hivi nani alikuwa wa kwanza kufika hapo kwenye tukio.. maana naona kama Karume alifika na nani alimtaarifu. Kama hao walinzi wamekutwa hivyo nani aliwafikisha hapo... na wao lazima sio waliotoa ripoti kuwa kuna moto.. au niseme kama kuna watu waliona liliungua na ni wapita njia je walipataje namba za hao wahusika!! Na kama wana watu majirani na jengo hilo ndio walifanya hili au lile + waliokuwa wanapita basi watakuwa na uwezo wa kuelezea waliona nini baada ya mlipuko huo... kesi hii inabidi uchunguzi wa juu sana kwa sana bila kuacja kugeuza jiwe lolote. Na wajengoni inabidi piabwaangalir kesi zao ni nani wamemmaliza haswa huko mahakamani.. ambaye anaweza kitenda lililotengwa.. je wanakesi yoyote imemfilisisha mtu.. je kunani kunani.
Moja tu hawa waliotenda hili wamevizia muda wa yake marumbano na Lissu.. je kwa kuwa Karume hajajiunga nao tena kuna wenye hasira!!! Je wamemghurumu mtu kitu... kwa sasa hao walinzi ni wakulindwa na kuhojiwa haswa pia mienendo ya pale etc
Kuna kitu kimoja pia najua kesi hizi ni lazima wachunguze mambo ya kifedha kuona kuwa hawajataka kujilipua kwa ajili ya kulipwa pesa ndefu ya bima.
Naandika kama vile mie inspekta kwa kujaribu na yangu. Nawatakia kila la kheri mawakili wetu wa Tanzania na poleni.