Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Wanabodi,

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.

Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

CCM Oye!

Paskali
Wewe Pascal Mayalla ni chakubanga chakubanga huna hoja kafanye mambo yenu ya gizani ukalale. Huaminiki hata na kuku.
 
Wanabodi,

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.

Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

CCM Oye!

Paskali
Zamani ulikua unajinasibu kuwa wewe sio mwanachama wala mkereketwa wa chama chochote cha siasa yaani upo neutral ila sikuhz
Wanabodi,

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.

Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

CCM Oye!

Paskali
Zamani ulikua unajinasibu kuwa wewe sio mwanachama wala mkereketwa wa chama chochote cha siasa yaani upo neutral ila sikuhz unaonesha kabisa upande wako halisi.....hahaaaaaaa
 
Wanabodi,

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.

Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

CCM Oye!

Paskali
Siyo atakayepatikana atakuwa best of the best CCM huwa haifanyi kazi namna huyo mkuu Paschal. Anaweza akawepo mtu bora kuliko wote na akashinda kura lakini akakatwa akawekwa boya wanaomtaka wao. CCM haina demokrasia kwa swala la kukata watu. Ndiyo maana Iringa mtu ambaye ambaye angeshinda walimkata wakaweka boya akapigwa na Msigwa wakajuta.
 
Ni hatari kweli hadi Paul Mashauri naye yumo kwenye kinyang'anyiro ,siri ya kujitokeza wengi ni kwamba wamemkubali magufuli.
Huu ndio upuuzi huwa sitaki kabisa kusikia. Eti mtu anagombea ubunge kwa sababu ya kumkubali Rais? Uongo wa kijinga kabisa!
Rais ni kiongozi wa mhimili mwingine uitwao serikali, unagombea ubunge ambao upo ndani ya muhimili ambao kazi yake ni kuikemea serikali na kuisimamia itimize wajibu wake vizuri. Mahusiano ya kufanya mtu ahamasike kugombea yako wapi?
Au ni kutokujua wajibu wa mbunge ni nini? Nakumbuka niliwahi msikia Mbunge Sugu akisema hata Rais akitokea Chadema, tutamtwanga bungeni na pia katika vikao vya chama atatwangwa ili nchi ifuate sheria, katiba na kanuni zake. Huo ndio ubunge.
Sasa hizo takataka za eti "nagombea kuunga mkono juhudi" kama sio umbumbumbu ni nini?
 
Wanabodi,

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.

Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

CCM Oye!

Paskali
Pasco tumekee hapa list ndo tutajua atakuwa nani.
 
Inawezekana wanaamini kuwa mbunge Wa Sasa ni rahisi kumuangusha. Na endapo Mdee atashinda tena basi hao 176 watatakiwa wasiruhusiwe kushika nafasi yoyote ya uongozi wa lisiada kwa miaka mitano ijayo!! Wananchi wa Kawe wakiwakataa wote hao litakuwa ni somo katika siasa!
Masahihisho kidogo,

Wananchi wanaweza kumkataa mgombea mmoja tuu kati ya hao 176.

Maana hatapita mtia nia no1 mpka 176, mbele ya wananchi, huku wakiulizwa.

"Ndio huyu, siyo". 'Na huyu je"

Kukataliwa kwa mgombea mmoja wa CCM(atakae pitishwa na CCM) haimaanishi, wananchi wamewakataa wote 176.

Hivyo basi CCM wahakikishe wanapitisha "the best of 176".
 
Inawezekana wanaamini kuwa mbunge Wa Sasa ni rahisi kumuangusha. Na endapo Mdee atashinda tena basi hao 176 watatakiwa wasiruhusiwe kushika nafasi yoyote ya uongozi wa lisiada kwa miaka mitano ijayo!! Wananchi wa Kawe wakiwakataa wote hao litakuwa ni somo katika siasa!

Kungekuwa na uchaguzi hapo sawa, ila sio kwa huu uchaguzi ambao tayari Magufuli kashaagiza nani atangazwe mshindi.
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie...

CCM Oye!

Paskali

Ugumu utoke wapi Paskali hapo, atakayepatikana ni yule atakayekuwa amepewa ajenda ya kumuongezea Magufuli muda wa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Huo wingi ni kuhadaa umma tu kuwa ccm kuna demokrasia, jambo ambalo si kweli.
 
Back
Top Bottom