Racing team
Member
- Jun 25, 2020
- 43
- 24
Vikao havina maana hapo, zaidi sana mkuu atapiga simu na kutoa maelekezo nani apitishwe.
Wewe Pascal Mayalla ni chakubanga chakubanga huna hoja kafanye mambo yenu ya gizani ukalale. Huaminiki hata na kuku.Wanabodi,
Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.
Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.
My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.
CCM Oye!
Paskali
Zamani ulikua unajinasibu kuwa wewe sio mwanachama wala mkereketwa wa chama chochote cha siasa yaani upo neutral ila sikuhzWanabodi,
Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.
Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.
My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.
CCM Oye!
Paskali
Zamani ulikua unajinasibu kuwa wewe sio mwanachama wala mkereketwa wa chama chochote cha siasa yaani upo neutral ila sikuhz unaonesha kabisa upande wako halisi.....hahaaaaaaaWanabodi,
Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.
Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.
My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.
CCM Oye!
Paskali
Siyo atakayepatikana atakuwa best of the best CCM huwa haifanyi kazi namna huyo mkuu Paschal. Anaweza akawepo mtu bora kuliko wote na akashinda kura lakini akakatwa akawekwa boya wanaomtaka wao. CCM haina demokrasia kwa swala la kukata watu. Ndiyo maana Iringa mtu ambaye ambaye angeshinda walimkata wakaweka boya akapigwa na Msigwa wakajuta.Wanabodi,
Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.
Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.
My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.
CCM Oye!
Paskali
Huu ndio upuuzi huwa sitaki kabisa kusikia. Eti mtu anagombea ubunge kwa sababu ya kumkubali Rais? Uongo wa kijinga kabisa!Ni hatari kweli hadi Paul Mashauri naye yumo kwenye kinyang'anyiro ,siri ya kujitokeza wengi ni kwamba wamemkubali magufuli.
Pasco tumekee hapa list ndo tutajua atakuwa nani.Wanabodi,
Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.
Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.
My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.
CCM Oye!
Paskali
Ikute na wewe umechukua form. Au mnataka mjue nini kitatokea na yanayoendelea ?FBIHalafu waliochukua form wote wa Kawe ni wahamiaji na wengine hata katiba ya CCM hawajui ina rangi gani kwenye cover...ha ha ha
Masahihisho kidogo,Inawezekana wanaamini kuwa mbunge Wa Sasa ni rahisi kumuangusha. Na endapo Mdee atashinda tena basi hao 176 watatakiwa wasiruhusiwe kushika nafasi yoyote ya uongozi wa lisiada kwa miaka mitano ijayo!! Wananchi wa Kawe wakiwakataa wote hao litakuwa ni somo katika siasa!
Inawezekana wanaamini kuwa mbunge Wa Sasa ni rahisi kumuangusha. Na endapo Mdee atashinda tena basi hao 176 watatakiwa wasiruhusiwe kushika nafasi yoyote ya uongozi wa lisiada kwa miaka mitano ijayo!! Wananchi wa Kawe wakiwakataa wote hao litakuwa ni somo katika siasa!
Wanabodi,
Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.
Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.
Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.
My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.
Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.
Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...
Naomba nisimalizie...
CCM Oye!
Paskali
Siasa bwana vigogo wote wa ccm mbunge wao Halima Mdee.Kawe ndio jimbo bora lenye watu wa kila aina mamilionea, watu mashuhuri na maarufu na vigogo wengi wa taifa hili wacha wajaribu bahati zao.
CCM ya sasa imejaa wanawake watupu mbele ya mwenyekiti wao.Vikao vitakaa..mwisho wa siku atapiga simu mwenye mali yake aseme nani awe!
CCM mavi matupu!
Nadhani umebaki wewe tu,changamkia fursa unaweza ukaukwaa uwaziri wa habari.
Sent using Jamii Forums mobile app