MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Live....mabomu yanapigwa mlimani UDSM wanafunzi na polisi vita...wanafunzi wanakimbia huku na huko...
Baada ya kummnanga kibonde?
Live....mabomu yanapigwa mlimani UDSM wanafunzi na polisi vita...wanafunzi wanakimbia huku na huko...
...KIBONDE jamani!! mbona kuna njia nyingi za kujipendekeza kwa wakubwa??? ila haya ya kujifanya mara msemaji wa serikali...mara oohh msemaji wa CCM...ooohh mara msemaji wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu!!! mambo ya kuropoka sensitive issues kama hizi za wanafunzi, kuna siku yatamtokea puwani!!! yaani jamaa bogus mukichwa kabisaaaa!!
Wasema anajiingiza kuzungumzia masuala nyeti ya wanafunzi kwa kuyabeza na kuyaanika kwa jamii kama masuala madogo, na serikali inamsikiliza.
Kwanza wanasema Kibonde mwenyewe ni total failure kitaaluma. So afunge domo.
...KIBONDE jamani!! mbona kuna njia nyingi za kujipendekeza kwa wakubwa??? ila haya ya kujifanya mara msemaji wa serikali...mara oohh msemaji wa CCM...ooohh mara msemaji wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu!!! mambo ya kuropoka sensitive issues kama hizi za wanafunzi, kuna siku yatamtokea puwani!!! yaani jamaa bogus mukichwa kabisaaaa!!
Wanafunzi wametawanyika , wamekanyagana sana, wamejaribu kutupa mawe, ila kutokuwa wamoja kumewaponza , Engineering ndio wanaonekana bado wana nguvu, kwani wao wana ka-mgomo kao ka tofauti na wenzao, wao wanashinikiza mwanafunzi wa mwake wa nne aliyedisco arudishwe!
machozi tumetoa hata members of staff, tumetafuta maji na kunawa bila kupenda, wanafunzi wamekimbilia maofisini ,mwetu hapa ninao akina dada wanne hivi wanalia tu!!! mapinduzi gharama sana kwa nchi za kiafrika.
Dowans..dowans iliimbwa live....
sijajua chanzo cha mabomu...ila nilisikia shukuru kawambwa akiongea nao naona hawakuelewana , mwanzisha thread atatusaidia.
Madai ya elfu kumi yameanza tangu 2007!
Wanafunzi wametawanyika , wamekanyagana sana, wamejaribu kutupa mawe, ila kutokuwa wamoja kumewaponza , Engineering ndio wanaonekana bado wana nguvu, kwani wao wana ka-mgomo kao ka tofauti na wenzao, wao wanashinikiza mwanafunzi wa mwake wa nne aliyedisco arudishwe!
machozi tumetoa hata members of staff, tumetafuta maji na kunawa bila kupenda, wanafunzi wamekimbilia maofisini ,mwetu hapa ninao akina dada wanne hivi wanalia tu!!! mapinduzi gharama sana kwa nchi za kiafrika.
Dowans..dowans iliimbwa live....
sijajua chanzo cha mabomu...ila nilisikia shukuru kawambwa akiongea nao naona hawakuelewana , mwanzisha thread atatusaidia.
Madai ya elfu kumi yameanza tangu 2007!
Usichoke mkuu keep us posted.....Wanafunzi wametawanyika , wamekanyagana sana, wamejaribu kutupa mawe, ila kutokuwa wamoja kumewaponza , Engineering ndio wanaonekana bado wana nguvu, kwani wao wana ka-mgomo kao ka tofauti na wenzao, wao wanashinikiza mwanafunzi wa mwake wa nne aliyedisco arudishwe!!
Wanafunzi wametawanyika , wamekanyagana sana, wamejaribu kutupa mawe, ila kutokuwa wamoja kumewaponza , Engineering ndio wanaonekana bado wana nguvu, kwani wao wana ka-mgomo kao ka tofauti na wenzao, wao wanashinikiza mwanafunzi wa mwake wa nne aliyedisco arudishwe!
machozi tumetoa hata members of staff, tumetafuta maji na kunawa bila kupenda, wanafunzi wamekimbilia maofisini ,mwetu hapa ninao akina dada wanne hivi wanalia tu!!! mapinduzi gharama sana kwa nchi za kiafrika.
Dowans..dowans iliimbwa live....
sijajua chanzo cha mabomu...ila nilisikia shukuru kawambwa akiongea nao naona hawakuelewana , mwanzisha thread atatusaidia.
Madai ya elfu kumi yameanza tangu 2007!
Polisi wa kutuliza ghasia wamewapiga mabomu ya machozi wanafunzi wa UDSM. Mkasa huo umekuja mara baada ya kumalizika kikao cha wanachuo na waziri wa Elimu. baada ya wageni wote kuondoka ilikuja zamu ya FFU kuondoka kwenye eneo la tukio lakini wanafunzi kwa vile walikuwa wamepania kulipiza kisasi walianza kuwarushia chupa za maji FFU hivyo nao FFU kuanza kujibu mapigo kwa kupiga mabomu ya moshi kuwatawanya wanafunzi. Hivi ninavyoandika maeneo ya kampasi na uandisi na swimming pool hakutamaniki kwa moshi na watu wametawanyika wakikimbia ovyo.
Ni hayo kwa sasa kutoka mlimani.